Mwigizaji wa Bongo ashinda tuzo Marekani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI wa filamu nchini, omary Clayton, ameibuka kidedea katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwenye tuzo za Califonia Online Viewers Choice Awards (COVCA) zilizotolewa usiku wa kuamkia jana huko Marekani.
Nyota huyo ni moja ya waigizaji wakuu waliofanya vizuri kwenye filamu inayoitwa Dogo Masai iliyomfanya Omary Clayton kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
“Daah mpaka nimetokwa na machozi, sijui niseme nini ila kikubwa namshukuru Mungu na Watanzania wote kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Sam Smith ashinda tuzo Marekani
9 years ago
Michuzi09 Nov
PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA "BEST PROMOTER" MAREKANI
![](http://api.ning.com/files/RU-BxEuC-r5L49t1VgougKPalqMvqcRhN9mocdYJa4EkUFsm57mrH1Z8sarzMH5jz8AJmtylo3kEuxVFeUY-pN-1jCQToN6c/IMG20151101WA0008.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/RU-BxEuC-r6IbrDtM0FUEHTOoGaDtfqbWtSY4zjE2aJXYK5IuaX6KGyQ7ubPFdA7iibyTJTBN9oZpTjGQCL3YpW4-FXZlJGx/IMG20151101WA0008.jpg?width=650)
...
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo
Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:
'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.
Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...
10 years ago
GPLTASWIRA ZAIDI ZA MKALI WA BONGO FLEVA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOPOKELEWA BONGO, SASA KUPELEKA TUZO DAR LIVE
9 years ago
Habarileo11 Oct
Kayumba ashinda Bongo Star Search
MSHIRIKI kutoka Dar es Salaam, Kayumba Juma ameibuka mshindi wa shindano la Bongo Star Search na kujinyakulia Sh milioni 50 na mkataba wa kusimamiwa kazi zake za sanaa wa thamani ya Sh milioni 10.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkenya ashinda tuzo la Goldman