PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA "BEST PROMOTER" MAREKANI
Ndugu Dickson anayefahamika kwa wengi kama Mr "DMK "
Promoter "DMK" wa Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS ashinda Tuzo ya Best Promoter USA katika zile tuzo za AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS USA 2015 ,Tuzo hizo zilitolewa OCTOBER 31 New York ambapo Makampuni 6 yalikuwa yakichuana kipengele hicho na DMK Global kuibuka kidedea,Pia katika Awards hizo Wasanii kutoka Tanzania Diamond alichukua Tuzo ya Hottest Male Single na Ommy Dimpoz tuzo ya People's Choice .
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Sam Smith ashinda tuzo Marekani
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mwigizaji wa Bongo ashinda tuzo Marekani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI wa filamu nchini, omary Clayton, ameibuka kidedea katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwenye tuzo za Califonia Online Viewers Choice Awards (COVCA) zilizotolewa usiku wa kuamkia jana huko Marekani.
Nyota huyo ni moja ya waigizaji wakuu waliofanya vizuri kwenye filamu inayoitwa Dogo Masai iliyomfanya Omary Clayton kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
“Daah mpaka nimetokwa na machozi, sijui niseme nini ila kikubwa namshukuru Mungu na Watanzania wote kwa...
10 years ago
Bongo Movies16 Dec
PICHA:Wastara Aongoza Mapokezi ya Timoth, Mtanzania Alieshinda Tuzo Huko Marekani
Timoth Conrad Kachumia ambae ni mtayarishaji wa filamu na mkurugenzi wa kampuni Timamu Afriacan Media, amewasili leo mchana akitokea nchini Marekani ambapo hivi karibuni alishinda tuzo za kimataifa za Future Africa Awards.
Muigizaji Wastara Juma nimiongoni mwa watu aliofika uwaja wa ndege kimataifa wa JK nyerere kumpokea.
Baada ya mapokezi hayo walielekea kwenye ofisi za basata mabako Timoth alipata nafasi ya kuzungumza na wandishi wa habari.
Jionee baadhi ya picha za mapokezi hayo hapo...
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)
10 years ago
TheCitizen07 Apr
Matumla angry with promoter for ‘lying’
10 years ago
TheCitizen04 Dec
TPBC suspends promoter Siraju for three months
11 years ago
IPPmedia06 Mar
Confusion surrounds boxing promoter's ban
IPPmedia
IPPmedia
Confusion has erupted between National Sports Council (NSC) and suspended professional boxing promoter Jay Msangi as the latter claims that his suspension from organising boxing events has been waived while the former maintains it still stands.
9 years ago
TheCitizen21 Oct
Promoter aims to bring big time boxing back