Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA "BEST PROMOTER" MAREKANI

                                Ndugu Dickson anayefahamika kwa wengi kama  Mr "DMK "Promoter "DMK" wa Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS ashinda Tuzo ya Best Promoter USA katika zile tuzo za AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS USA 2015 ,Tuzo hizo zilitolewa OCTOBER 31 New York ambapo Makampuni 6 yalikuwa yakichuana kipengele hicho na DMK Global kuibuka kidedea,Pia katika Awards hizo Wasanii kutoka Tanzania Diamond alichukua Tuzo ya Hottest Male Single na Ommy Dimpoz tuzo ya People's Choice .
   ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sam Smith ashinda tuzo Marekani

Mwanamuziki raia wa Uingereza Sam Smith ameshinda tuzo mbili za Grammys zilizofanyika Los Angles Marekani.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwigizaji wa Bongo ashinda tuzo Marekani

photoNA CHRISTOPHER MSEKENA

MWIGIZAJI wa filamu nchini, omary Clayton, ameibuka kidedea katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwenye tuzo za Califonia Online Viewers Choice Awards (COVCA) zilizotolewa usiku wa kuamkia jana huko Marekani.

Nyota huyo ni moja ya waigizaji wakuu waliofanya vizuri kwenye filamu inayoitwa Dogo Masai iliyomfanya Omary Clayton kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.

“Daah mpaka nimetokwa na machozi, sijui niseme nini ila kikubwa namshukuru Mungu na Watanzania wote kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Wastara Aongoza Mapokezi ya Timoth, Mtanzania Alieshinda Tuzo Huko Marekani

Timoth Conrad Kachumia ambae ni mtayarishaji wa filamu na mkurugenzi wa kampuni Timamu Afriacan Media, amewasili leo mchana akitokea nchini Marekani ambapo hivi karibuni alishinda tuzo za kimataifa za Future Africa Awards.

Muigizaji Wastara Juma nimiongoni mwa watu aliofika uwaja wa ndege kimataifa wa JK nyerere kumpokea.

Baada ya mapokezi hayo walielekea kwenye ofisi za basata mabako Timoth alipata nafasi ya kuzungumza na wandishi wa habari.

Jionee baadhi ya picha za mapokezi hayo hapo...

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo

12071024_1489877797975917_850313823_nOmmy Dimpoz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards zilizofanyika Jumamosi hii huko New Jersey, Marekani. Ommy Dimpoz, Mubenga na DMK wakiwa red carpet Ommy aliyetumbuiza pia kwenye tuzo hizo alishinda kipengele cha People’s Choice Award. Kufuatia ushindi huo, muimbaji huyo aliandika kwenye Instagram, “ Thank you my people for your Votes U made this Possible […]

 

10 years ago

TheCitizen

Matumla angry with promoter for ‘lying’

Retired boxer Rashid Matumla alias “Snake Man” has expressed his disappointment after learning that his son, Mohamed Matumla, will not feature on the undercard of the Floyd Mayweather-Manny Pacquiao fight.

 

10 years ago

TheCitizen

TPBC suspends promoter Siraju for three months

Tanzania Professional Boxing Commission (TPBC) has suspended for three months, professional boxing promoter Kaike Siraju, after failing to comply with the body’s rules and regulations.

 

11 years ago

IPPmedia

Confusion surrounds boxing promoter's ban


IPPmedia
Confusion surrounds boxing promoter's ban
IPPmedia
Confusion has erupted between National Sports Council (NSC) and suspended professional boxing promoter Jay Msangi as the latter claims that his suspension from organising boxing events has been waived while the former maintains it still stands.

 

9 years ago

TheCitizen

Promoter aims to bring big time boxing back

Prominent professional boxing promoter Jay Msangi of the Hall Of Fame Boxing and Promotions aims high and this time, he expects to bring more international boxing fights to the country.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani