Rihanna ashinda kesi dhidi ya duka la Uingereza lililokuwa likiuza T-shirt zenye picha yake
Rihanna ameshinda kesi yake dhidi ya duka kubwa la Topshop la nchini Uingereza lililokuwa likiuza T-shirts zenye picha yake. Mahakama ya rufaa ya jijini London imetoa katazo la kuuzwa kwa T-shirts hizo zilizokuwa zikiuzwa bila ridhaa ya Rihanna. Staa huyo aliishtaki kampuni mama ya Topshop, Arcadia kwa kudai fidia ya dola milioni tano mwaka 2013 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
PICHA: Je ni Kweli Lulu Anamaanisha Hiki Kilichoandikwa Kwenye T-shirt Yake?
Mara kadhaa tumewaona baadhi ya ndungu zetu amabo Lugha ya malkia inawapiga chenga wamekuwa wakivaa ngue zenye maandisha ambayo mara nyingi huwa hawajui maana ya kile ambacho kimeandikwa.
Sote tunatambua kuwa watu wenye uelewa kama wa mrembo huyu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ hawezi kuvaa ngue yenye maandishi akiwa ajui maana yake au hakubaliani na kile kilichoandikwa. Sasa je mtoto lulu ni kweli anamaanisha hiki kilichoandikwa hadi kupiga nacho picha na kutupia mtandaoni. Au labda ni dili...
11 years ago
Bongo501 Nov
Kanye asimamisha taxi kupiga picha na paparazzi aliyevaa t-shirt iliyomvutia, t-shirt zanunuliwa kama njugu
10 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
10 years ago
Bongo527 Jan
Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake
11 years ago
GPL
ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
10 years ago
GPL
SINGANO ASHINDA KESI YA KIMKATABA KATI YAKE NA SIMB
10 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Rihanna afanya utambulisho wa jina na cover ya album yake mpya