Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SINGANO ASHINDA KESI YA KIMKATABA KATI YAKE NA SIMB

Ramadhani Singano 'Messi' . TFF imemtangaza mchezaji Ramadhani Singano 'Messi' kuwa mchezaji huru kwa madai kuwa Simba ilikiuka masharti na hivyo kusababisha mkataba huo kuvunjika.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo imetoa hukumu ya kesi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe ambapo imempa kinga ya muda kutojadiliwa uanachama wa ke na Kamati Kuu ya…

 

9 years ago

Bongo5

Jay Z ashinda kesi ya haki miliki ya hit yake ‘Big Pimpin’

Rapper Sean “Jay Z” Carter ameshinda kesi ya haki miliki ya wimbo wake wa mwaka 1999 ‘Big Pimpin’ iliyokuwa ikiwakabili yeye na Timberland ambaye ndiye producer wa wimbo huo. Kesi hiyo ilifunguliwa na Osama Ahmed Fahmy ambaye ni binamu wa Baligh Hamdi wa Misri ambaye vionjo vya wimbo wake wa 1957, ‘Khosara khosara’ vilitumika kwenye […]

 

10 years ago

Bongo5

Rihanna ashinda kesi dhidi ya duka la Uingereza lililokuwa likiuza T-shirt zenye picha yake

Rihanna ameshinda kesi yake dhidi ya duka kubwa la Topshop la nchini Uingereza lililokuwa likiuza T-shirts zenye picha yake. Mahakama ya rufaa ya jijini London imetoa katazo la kuuzwa kwa T-shirts hizo zilizokuwa zikiuzwa bila ridhaa ya Rihanna. Staa huyo aliishtaki kampuni mama ya Topshop, Arcadia kwa kudai fidia ya dola milioni tano mwaka 2013 […]

 

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI

Johnson LukazaMwesigwa Lukaza 

Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti  wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....

 

10 years ago

Mwananchi

MKATABA:TFF yajikanyaga kesi ya Singano

Huku ikionekana dhahiri kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemlazimisha mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’ kubaki Simba, mchezaji huyo alibubujikwa machozi hadharani huku akisema analiacha jambo hilo mbele ya Mungu.

 

11 years ago

GPL

LIYUMBA ASHINDA KESI

Amatus Liyumba. MKURUGENZI wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba ameshinda kesi ya kukutwa na simu gerezani iliyokuwa inamkabili hivi punde katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Liyumba ameshinda kesi hiyo baada ya upande wa Jamhuri na mchunguzi wa kesi hiyo kushindwa kuithibitishia mahakama kuhusu tuhuma hiyo. Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi,...

 

10 years ago

StarTV

Aliyebadili jinsia ashinda kesi.

Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.

 
Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.

 
Bi Mbugua alilishitaki baraza la kitaifa la mitihani nchini humo kwa kukataa kubadililisha utambulisho wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab

Mahakama ya Marekani imetoa uamuzi uliompendelea mwanamke muislamu ambaye alienda mahakamani baada ya kunyimwa kazi kutokana na vazi lake la hijab.

 

10 years ago

GPL

LWAKATARE ASHINDA KESI YA UGAIDI

MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Maendeleo (Chadema) Taifa, Mhe. Wilfred Lwakatare leo ameshinda kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili. Kesi hiyo imeendeshwa katika Mahakama ya Rufaa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani