Jay Z ashinda kesi ya haki miliki ya hit yake ‘Big Pimpin’
Rapper Sean “Jay Z” Carter ameshinda kesi ya haki miliki ya wimbo wake wa mwaka 1999 ‘Big Pimpin’ iliyokuwa ikiwakabili yeye na Timberland ambaye ndiye producer wa wimbo huo. Kesi hiyo ilifunguliwa na Osama Ahmed Fahmy ambaye ni binamu wa Baligh Hamdi wa Misri ambaye vionjo vya wimbo wake wa 1957, ‘Khosara khosara’ vilitumika kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Oct
Jay Z aingia kortini kutoa ushahidi wa kesi ya haki miliki ya hit yake Big Pimpin
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1510D/production/_86258268_reuters_jayz2.jpg)
Jay Z cleared over Big Pimpin' case
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SINGANO ASHINDA KESI YA KIMKATABA KATI YAKE NA SIMB
10 years ago
Bongo522 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya duka la Uingereza lililokuwa likiuza T-shirt zenye picha yake
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s72-c/image.jpg)
NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s640/image.jpg)
Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....
10 years ago
Bongo507 Oct
Diamond na Yemi Alade wasaini na MCSK (chama cha haki miliki Kenya)
9 years ago
Bongo506 Nov
P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa
![10725062_844274638950672_53630798_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10725062_844274638950672_53630798_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.
Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.
“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Profesa Jay ashinda kiti cha ubunge TZ