Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jay Z aingia kortini kutoa ushahidi wa kesi ya haki miliki ya hit yake Big Pimpin

Jay Z ameamua kuwa mpole na kukubali kuingia mahakamani kutoa ushahidi jijini Los Angeles Jumatano hii kwenye kesi inayomkabili ya kukiuka masuala ya haki miliki kufuatia wimbo wake wa mwaka 1999, Big Pimpin. Jay Z ambaye jina lake halisi ni Sean Carter na Timbaland, aliyetayarisha wimbo huo walidaiwa kutumia vionjo kutoka kwenye wimbo wa Baligh […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Jay Z ashinda kesi ya haki miliki ya hit yake ‘Big Pimpin’

Rapper Sean “Jay Z” Carter ameshinda kesi ya haki miliki ya wimbo wake wa mwaka 1999 ‘Big Pimpin’ iliyokuwa ikiwakabili yeye na Timberland ambaye ndiye producer wa wimbo huo. Kesi hiyo ilifunguliwa na Osama Ahmed Fahmy ambaye ni binamu wa Baligh Hamdi wa Misri ambaye vionjo vya wimbo wake wa 1957, ‘Khosara khosara’ vilitumika kwenye […]

 

9 years ago

BBC

Jay Z cleared over Big Pimpin' case

Jay Z and Timbaland are cleared of copyright infringement of an Egyptian track over the 1999 single Big Pimpin'.

 

9 years ago

Mwananchi

Mashahidi kesi ya mauaji ya Msuya waanza kutoa ushahidi

Upande wa mashahidi katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa madini wa Mererani, Erasto Msuya umeanza kutoa ushahidi wao jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda

>Kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, imeanza kusikilizwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro na shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ni aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Morogoro, Sadick Tindwa, ambaye kwa sasa amehamishiwa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kutoa ushahidi wake kwa zaidi ya saa mbili.

 

10 years ago

Michuzi

INSPEKTA WA POLISI AANZA KUTOA USHAHIDI KESI YA ALBINO MWANZA

Na Daniel Mbega, MwanzaSHAHIDI wa sita katika kesi ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Mkaguzi wa Polisi (Inspector) David Mhanaya, ameanza kutoa ushahidi wake leo hii katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza.Mbele ya Jaji Robert Makaramba anayesikiliza Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014, shahidi huyo ametumia siku nzima kutoa ushahidi wake akiongozwa na mawakili wa serikali Emil Kiria, Esther Majaliwa na Robert Kilando.Hata hivyo, Jaji Makaramba aliahirisha kesi hiyo hadi...

 

5 years ago

Michuzi

MASHAHIDI 28 KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI INAYOMKABILI MTUHUMIWA ANAYEDAIWA KUMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA NA MAGUNIA MAWILI YA MKAA

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV .
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’

>Upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya raia eneo la Magomeni Mikumi, jijini Dar es Salaam, umekiri kuwa hauna ushahidi huru kwa baadhi ya washtakiwa katika kesi hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Yemi Alade wasaini na MCSK (chama cha haki miliki Kenya)

Diamond Platnumz na muimbaji wa Nigeria, Yemi Alade wamesaini mkataba na chama cha haki miliki cha Kenya, MCSK. Wawili hao walikuwa nchini Kenya mwezi uliopita kurekodi kipindi Coke Studio Africa msimu wa pili. “Tulimkabidhi Diamond cheque ya fedha nyingi za mirahaba na baada ya kumuonesha michakato yetu, alikuwa tayari kusaini nasi,” alisema CEO wa MCSK, […]

 

9 years ago

Bongo5

P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa

10725062_844274638950672_53630798_n

Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.

10725062_844274638950672_53630798_n

Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.

“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani