Jay Z aingia kortini kutoa ushahidi wa kesi ya haki miliki ya hit yake Big Pimpin
Jay Z ameamua kuwa mpole na kukubali kuingia mahakamani kutoa ushahidi jijini Los Angeles Jumatano hii kwenye kesi inayomkabili ya kukiuka masuala ya haki miliki kufuatia wimbo wake wa mwaka 1999, Big Pimpin. Jay Z ambaye jina lake halisi ni Sean Carter na Timbaland, aliyetayarisha wimbo huo walidaiwa kutumia vionjo kutoka kwenye wimbo wa Baligh […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Oct
Jay Z ashinda kesi ya haki miliki ya hit yake ‘Big Pimpin’
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1510D/production/_86258268_reuters_jayz2.jpg)
Jay Z cleared over Big Pimpin' case
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mashahidi kesi ya mauaji ya Msuya waanza kutoa ushahidi
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS5nzfirdvs/VVInmQHp1yI/AAAAAAAHW4Y/Ihqa59XtwuQ/s72-c/mwanza_town.jpg)
INSPEKTA WA POLISI AANZA KUTOA USHAHIDI KESI YA ALBINO MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS5nzfirdvs/VVInmQHp1yI/AAAAAAAHW4Y/Ihqa59XtwuQ/s640/mwanza_town.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PheqtEYh_6Y/XujSw9KputI/AAAAAAALuEc/NzOuqZIwDuoLvf3xIbY9etWsDeOOff-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.18.35%2BPM.jpeg)
MASHAHIDI 28 KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI INAYOMKABILI MTUHUMIWA ANAYEDAIWA KUMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA NA MAGUNIA MAWILI YA MKAA
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’
10 years ago
Bongo507 Oct
Diamond na Yemi Alade wasaini na MCSK (chama cha haki miliki Kenya)
9 years ago
Bongo506 Nov
P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa
![10725062_844274638950672_53630798_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10725062_844274638950672_53630798_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.
Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.
“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...