Diamond na Yemi Alade wasaini na MCSK (chama cha haki miliki Kenya)
Diamond Platnumz na muimbaji wa Nigeria, Yemi Alade wamesaini mkataba na chama cha haki miliki cha Kenya, MCSK. Wawili hao walikuwa nchini Kenya mwezi uliopita kurekodi kipindi Coke Studio Africa msimu wa pili. “Tulimkabidhi Diamond cheque ya fedha nyingi za mirahaba na baada ya kumuonesha michakato yetu, alikuwa tayari kusaini nasi,” alisema CEO wa MCSK, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Oct
Music: Diamond Platnumz f/ Yemi Alade — Ukimwona (Live)
Pamoja na kwamba ‘Ukimwona’ haikutoka kama ngoma rasmi ya Diamond, bado kwa wengi ni ngoma kali zaidi kuwahi kuimba na staa huyo. Pengine ndio maana, waandaji wa Coke Studio Africa walichagua Ukimwona utumbuize live akishirikiana na muimbaji wa Nigeria Yemi Alade. Na kwakuwa kipindi hicho kina bendi hatari, wimbo huo umekuwa mzuri zaidi hata ule […]
10 years ago
Michuzi06 Oct
10 years ago
GPL11 Sep
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Diamond kurekodi na Yemi Alade kwenye Coke Studio Africa
Diamond Platnumz amerejea tena kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa na awamu hii atatangeneza pair na hitmaker wa Johny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Diamond na Yemi Alade Diamond ni msanii wa nne mwaka huu kutoka Tanzania aliyeshiriki kwenye kipindi hicho kinachorekodiwa jijini Nairobi, Kenya. Wengine ni Vanessa Mdee aliyerekodi na […]
10 years ago
Vijimambo30 Oct
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/057dS8YV7Hw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Nov
9 years ago
Bongo511 Sep
Tell Everybody: Video ya ‘The Global Goals Campaign’ waliyoshiriki Diamond, Mafikizolo, Yemi Alade na wengine imetoka, itazame
Video ya wimbo wa kampeni ya umoja wa mataifa ‘The Global Goals Campaign’ imetoka. Wanamuziki wa Afrika walioshiriki kwenye wimbo huu ni pamoja na Diamond Platnumz (Tanzania), Mafikizolo (South Africa), Yemi Alade (Nigeria), Sauti Sol (Kenya), Toofan (Togo), Becca na Sarkodie (Ghana). Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania