Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukimwona, Diamond Platnumz & Yemi Alade, Coke Studio Africa

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Diamond kurekodi na Yemi Alade kwenye Coke Studio Africa

Diamond Platnumz amerejea tena kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa na awamu hii atatangeneza pair na hitmaker wa Johny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Diamond na Yemi Alade Diamond ni msanii wa nne mwaka huu kutoka Tanzania aliyeshiriki kwenye kipindi hicho kinachorekodiwa jijini Nairobi, Kenya. Wengine ni Vanessa Mdee aliyerekodi na […]

 

10 years ago

Bongo5

Music: Diamond Platnumz f/ Yemi Alade — Ukimwona (Live)

Pamoja na kwamba ‘Ukimwona’ haikutoka kama ngoma rasmi ya Diamond, bado kwa wengi ni ngoma kali zaidi kuwahi kuimba na staa huyo. Pengine ndio maana, waandaji wa Coke Studio Africa walichagua Ukimwona utumbuize live akishirikiana na muimbaji wa Nigeria Yemi Alade. Na kwakuwa kipindi hicho kina bendi hatari, wimbo huo umekuwa mzuri zaidi hata ule […]

 

9 years ago

Africanjam.Com

COKE STUDIO AFRICA MASH UP: 2FACE & VANESSA MDEE "Vee Money" - AFRICAN QUEEN / NOBODY BUT ME



Published on Oct 25, 2015Producer Cobhams mashes up an African classic with an East African chart topper for Vanessa Mdee and 2Face to perform on Coke Studio Africa.
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also...

 

9 years ago

Africanjam.Com

COKE STUDIO AFRICA MASH UP: FID Q & MAURICE KIRYA - BENDERA YA CHUMA/BLUE DRESS


Fid Q (Tanzania) and Maurice Kirya (Uganda) meet Coke Studio Africa's DJ Space for another Hip Hop Mash Up. Bendera ya Chuma by Fid Q was inspired by the film "Mandela" who preached about forgiveness upon his release, and Maurice Kirya's Blue Dress talks about this lady who is married but is not happy with her life.

Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo

Shilole na Selebobo

Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.

Shilole na Selebobo

Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.

“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.

Shilole amesema safari yake ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani