Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COKE STUDIO AFRICA MASH UP: FID Q & MAURICE KIRYA - BENDERA YA CHUMA/BLUE DRESS


Fid Q (Tanzania) and Maurice Kirya (Uganda) meet Coke Studio Africa's DJ Space for another Hip Hop Mash Up. Bendera ya Chuma by Fid Q was inspired by the film "Mandela" who preached about forgiveness upon his release, and Maurice Kirya's Blue Dress talks about this lady who is married but is not happy with her life.

Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

COKE STUDIO MASH UP: NEYO, ALI KIBA, DAMA, ICE PRINCE, MAURICE KIRYA & WANGECHI - REASON



Published on Dec 6, 2015Coke Studio Africa welcomes R&B Superstar NE-YO who works with Wangechi (Kenya), Alikiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Mozambique) and Ice Prince (Nigeria) on a special Coke Studio Africa song. The five select stars have already recorded mash-ups that have rocked this season.
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela...

 

9 years ago

Africanjam.Com

COKE STUDIO AFRICA MASH UP: 2FACE & VANESSA MDEE "Vee Money" - AFRICAN QUEEN / NOBODY BUT ME



Published on Oct 25, 2015Producer Cobhams mashes up an African classic with an East African chart topper for Vanessa Mdee and 2Face to perform on Coke Studio Africa.
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also...

 

10 years ago

GPL

FID Q NA MAURICE NDANI YA COKE STUDIO LEO

Msanii nguli wa muziki wa Bongo Fleva Fid-Q akikamua. Baada ya wasanii nguli wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya wiki iliyopita kumwaga raha ya burudani kupitia onyesho la muziki la Coke studio linalorushwa na luninga ya Clouds kila siku ya Jumamosi. Leo nyota wengine wa muziki huo Fid Q kutoka Tanzania na Maurice Kirya kutoka nchini Uganda watawasha moto. Wasanii hawa wawili ambao...

 

10 years ago

Michuzi

Fid Q na Maurice ndani ya Coke Studio leo

Baada ya wasanii nguli wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya wiki iliyopita kumwaga raha ya burudani  kupitia onyesho la muziki la Coke studio linalorushwa na luninga ya Clouds kila siku ya Jumamosi. Leo nyota wengine wa muziki huo Fid Q kutoka Tanzania na Maurice Kirya kutoka nchini Uganda watawasha moto.
Wasanii hawa wawili ambao wanatamba kwa muziki wa Bongo Fleva katika ukanda huu wa Afrika Mashariki wamefanya Kolabo matata (Mash-up) katika...

 

10 years ago

Mtanzania

Ben Pol, Kiba, Vanessa Mdee, Fid Q kuwasha moto Coke Studio Africa

Ben-Pol_fullvanessa-620x400alikiba1fid-qNA MWANDISHI WETU

WASANII nguli wa muziki nchini, Ben Pol, Ali Kiba, Fid Q na Vanessa Mdee, wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya  burudani ya muziki, maarufu kama Coke Studio Africa litakaloanza mapema wiki ijayo.

Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani ‘Kolabo’.

Kolabo ya wasanii 55 itashirikisha wasanii wawili kutoka nchi mbili tofauti kuimba nyimbo mbili za mitindo...

 

10 years ago

Bongo5

Nisher atayarisha ngoma mpya ya Fid Q ‘Bendera ya Chuma’

Nisher ni mtu mwenye vipaji vingi. Zaidi ya kuongoza video (kitu kilichompa umaarufu zaidi), Nisher pia ni muimbaji mzuri wa R&B na mtayarishaji wa nyimbo na zote anavifanya katika level ya ‘upro’. Hivi karibuni ametayarisha wimbo mpya wa Fid Q uitwao ‘Bendera ya Chuma’. “Nimeproduce kila kitu, music, everything nikamtumia akapenda. Nimemtupia catalogue ya nyimbo […]

 

11 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee atajwa kuwania ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014, kuchuana na 2 Face na Maurice Kirya

Vanessa Mdee pamoja na Diamond Platnumz ndio wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014 huko Nigeria. Vanessa ametajwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni ‘Msanii Bora wa kike Afrika Mashariki’ pamoja na ‘Best African RNB Soul’ kupitia wimbo wa ‘Come Over’. Vee Money anachuana na Wahu na Size 8 wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani