Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nisher atayarisha ngoma mpya ya Fid Q ‘Bendera ya Chuma’

Nisher ni mtu mwenye vipaji vingi. Zaidi ya kuongoza video (kitu kilichompa umaarufu zaidi), Nisher pia ni muimbaji mzuri wa R&B na mtayarishaji wa nyimbo na zote anavifanya katika level ya ‘upro’. Hivi karibuni ametayarisha wimbo mpya wa Fid Q uitwao ‘Bendera ya Chuma’. “Nimeproduce kila kitu, music, everything nikamtumia akapenda. Nimemtupia catalogue ya nyimbo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

COKE STUDIO AFRICA MASH UP: FID Q & MAURICE KIRYA - BENDERA YA CHUMA/BLUE DRESS


Fid Q (Tanzania) and Maurice Kirya (Uganda) meet Coke Studio Africa's DJ Space for another Hip Hop Mash Up. Bendera ya Chuma by Fid Q was inspired by the film "Mandela" who preached about forgiveness upon his release, and Maurice Kirya's Blue Dress talks about this lady who is married but is not happy with her life.

Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who...

 

10 years ago

Bongo5

Nisher: Tumekasirika sana round hii, aongoza video ya ’13’ ya Young Killer f/ Fid Q

Baada ya Hefemi kupokea pongezi nyingi kwa video ya ‘3 Chafu’ ya Professor Jay na Adam Juma kupongezwa kwa kazi nzuri aliyoifanya kwenye video ya ‘Pacha Wangu’ ya Rich Mavoko, mshindi wa tuzo za watu, Nisher anatarajia kutafuta point zake tatu kwa kushoot video ya wimbo wa Young Killer aliomshirikisha Fid Q ’13’. Fid aliandika […]

 

11 years ago

Mwananchi

Bendera alipiga ngoma isiyo na mchezaji

Ninakumbuka mwaka 2010, aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Nkaya Bendera alifanya ziara jimboni kwake wakati huo huku akihimiza wadau wa riadha mkoani Tanga kutumia kikamilifu fursa ya Serikali katika kufufua riadha Tanzania.

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol azungumzia ndoa na video mpya na Nisher

Ben Pol amesema kama Mungu akimjalia basi huenda akafunga ndoa na mpenzi wake Miss Tanzania namba mbili 2013, Latifa Mohamed. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa ukaribu alionao na Latifa unampa matumaini ya kudumu kwa uhusiano wao. “Tupo karibu sana, suala la ndoa sijui nisemeje lakini, kama mwanaume kamili tena kwa mila zetu nitaoa tu lakini, […]

 

10 years ago

Bongo5

Fid Q awasharikisha Sauti Sol, ataja sababu za kutotoa ngoma nyingi na wasanii wa hiphop kutofanikiwa

Fid Q amewashirikisha Sauti Sol kwenye wimbo wake mpya. Fid Q, AY, Shaa na Sauti Sol wakiwa studio Akiongea jana kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Citizen Radio ya Kenya, Fid amedai kuwa wimbo huo wameurekodi juzi usiku. “Nilikuja Nairobi kwaajili ya kurekodi na Sauti Sol, namshukuru Mungu tumefanya session last night na kiukweli wote […]

 

9 years ago

Bongo5

Nisher asema bei mpya anayotoza kushoot video ndio inayowakimbiza wasanii wengi

Nisher7

Mwishoni mwa mwaka 2013 muongozaji wa video nchini, Nisher alikuwa akitoza shilingi milioni 3 kushoot video moja ya muziki, na aliahidi kuongeza bei hadi kufikia dola 4000 pale vifaa vipya alivyoagiza vitakapowasili.

Nisher7

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Nisher amesema kwa sasa anatoza shilingi milioni 10 kwa video moja, ambayo inahusisha gharama zote za utegenezaji kama location, models, malipo ya director pamoja na usambazaji.

“Kwasasa video kwangu ni 10 million (production/director’s...

 

9 years ago

BBCSwahili

New Zealand kupigia kura bendera mpya

Raia nchini New Zealand wawanapiga kura kuchagua bendera ambayo huenda ikachukua nafasi ya bendera ya sasa.

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Sikiliza Kemosabe (interlude) iliyopo kwenye album mpya ya Fid Q Kitaaolojia

Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa jana, Fid Q aliwapa mashabiki wake kionjo cha album yake mpya, Kitaaolojia kwa interlude yake iitwayo Kemosabe. Isikilize hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Sheddy Clever atayarisha wimbo wa Tiwa Savage na KCEE (Video)

Producer wa hit single ya Diamond Platnumz, Number One, Sheddy Clever ametayarisha nyimbo za wasanii wakubwa wa Nigeria, Tiwa Savage na KCEE. Sheddy ambaye ana studio yake iitwayo Burn Records, ameiambia Bongo5 kuwa fursa ya kutayarisha nyimbo za wasanii hiyo imepatikana kutokana na connection aliyofanyiwa na Diamond. “Tayari nimeshafanya kazi na Tiwa Savage na kuna […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani