Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bendera alipiga ngoma isiyo na mchezaji

Ninakumbuka mwaka 2010, aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Nkaya Bendera alifanya ziara jimboni kwake wakati huo huku akihimiza wadau wa riadha mkoani Tanga kutumia kikamilifu fursa ya Serikali katika kufufua riadha Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nisher atayarisha ngoma mpya ya Fid Q ‘Bendera ya Chuma’

Nisher ni mtu mwenye vipaji vingi. Zaidi ya kuongoza video (kitu kilichompa umaarufu zaidi), Nisher pia ni muimbaji mzuri wa R&B na mtayarishaji wa nyimbo na zote anavifanya katika level ya ‘upro’. Hivi karibuni ametayarisha wimbo mpya wa Fid Q uitwao ‘Bendera ya Chuma’. “Nimeproduce kila kitu, music, everything nikamtumia akapenda. Nimemtupia catalogue ya nyimbo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake haiharibiwi

Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake inayomuzesha kuchezesha mikono haiharibiwi

 

9 years ago

Dewji Blog

Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa

Arsene 22

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.

“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...

 

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka

Vijana hawakati tamaa. Baada ya kuandika maneno yote yale wiki jana, huyu kijana ameona sasa njia ya kufuatilia ni kuandika kila wakati.

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO kutangaza Guinea nchi isiyo na Ebola

Shirika la Afya Duniani leo inatarajiwa kuitangaza Guinea kuwa nchi isiyo na maambukizo ya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

Habarileo

TBS wateketeza juisi isiyo na viwango

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza tani saba za juisi ya U-Fresh inayozalishwa na Kiwanda cha U-Fresh Food Limited ya Tegeta, Dar es Salaam kwa sababu ya kukosa viwango vya ubora vinavyotakiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani