Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS wateketeza juisi isiyo na viwango

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza tani saba za juisi ya U-Fresh inayozalishwa na Kiwanda cha U-Fresh Food Limited ya Tegeta, Dar es Salaam kwa sababu ya kukosa viwango vya ubora vinavyotakiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafungia kiwanda cha juisi

Nembo ya TBS.SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) imekifungia kiwanda cha Devideic cha mjini Morogoro kwa muda usiojulikana kuendelea na uzalishaji wa juisi aina ya Into.

 

10 years ago

Mwananchi

TBS yakifungia kiwanda cha juisi

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekifunga kiwanda kidogo cha kutengeneza juisi aina ya Into Orange, kinachomilikiwa na kampuni ya Devideic cha mjini Morogoro, baada ya kubaini bidhaa hizo zina vimelea vya wadudu.

 

11 years ago

Mwananchi

TBS kuteketeza juisi za Smile Dar

 Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linakusudia kuteketeza kinywaji chenye ladha ya matunda (juisi) kijulikanacho kwa jina la Smile, baada ya kubaini kuwa hakina viwango vinavyohitajika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TBS yawataka wafanyabiashara kuudhuria siku ya viwango

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wajasiriamali na wafanyabiashara waliothibitisha ubora wa bidhaa zao kufika katika maadhimisho ya siku ya viwango yatakayofanyika jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karimjee...

 

9 years ago

Mwananchi

TBS yataka uzalishaji wa bidhaa zinazokidhi viwango

Tanzania imetakiwa kuzalisha bidhaa zenye viwango katika zama hizi za utandawazi ili kukidhi mahitaji ya viwango vya kimataifa na kujihakikishia soko la bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Ubora na Viwango Vyangu, TBS Nimeshindikana-Lulu

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amejifangilia kwa kusema kuwa viwango vyake katkaia maswala mazima za kijipodoa ni ya kiwango cha juu.

Lulu ameandika haya kwenye ukurasa wake wa instagram mara baada ya kuweka picha hizo hapo juu.

“Diana Elizabeth Michael...! Miss Balozi katika Ubora na Viwango vyangu (TBS nimeshindikana)
Unaweza kuniita Mkali Wa Hizi Kazi pia.Pale Make up Artist wako anapotaka Kukugeuza Mzungu na Nusu…"

Akaandika tena

"Ubora na Viwango...

 

9 years ago

Habarileo

TBS: Viwango vya ubora iwe lugha ya mawasiliano

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, amewaomba Watanzania watumie viwango vya ubora vilivyopitishwa na shirika hilo kuwa lugha ya mawasiliano katika biashara na maisha yao kwa ujumla.

 

10 years ago

Habarileo

TBS kupanua elimu wigo wa viwango vya ubora

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeongeza kasi ya utoaji wa elimu ya viwango kwa wanawake wajasiriamali na watu wengine nchini ili kuwawezesha kupata nembo ya ubora wa bidhaa ambazo zitaweza kuingia katika soko la ushindani la ndani na nje nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani