Ben Pol azungumzia ndoa na video mpya na Nisher
Ben Pol amesema kama Mungu akimjalia basi huenda akafunga ndoa na mpenzi wake Miss Tanzania namba mbili 2013, Latifa Mohamed. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa ukaribu alionao na Latifa unampa matumaini ya kudumu kwa uhusiano wao. “Tupo karibu sana, suala la ndoa sijui nisemeje lakini, kama mwanaume kamili tena kwa mila zetu nitaoa tu lakini, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Video: Rapper Gentriez azungumzia alivyowashirikisha Ben Pol na Godzilla
![12224498_1632535297010151_1264875697_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224498_1632535297010151_1264875697_n-300x194.jpg)
Mtazame rapper wa Arusha, Gentriez akiongelea kuwashirikisha Ben Pol na Godzilla kwenye wimbo wake mpya ‘Nimempata.’
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
GPL19 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/81i3dybXK8U/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kllm5XU0wKs/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Mabibi na mabwana tumealikwa na Ben Pol kuitazama hapa video yake mpya ‘ningefanyaje’
Staa wa R’n’B Tanzania ambaye ni mshindi wa tuzo za KTMA Ben Pol ametuletea video mpya ya single ya ‘ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril na Rossie M, video imefanywa South Africa na director Justin Campos Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu […]
The post Mabibi na mabwana tumealikwa na Ben Pol kuitazama hapa video yake mpya ‘ningefanyaje’ appeared first on...
9 years ago
Bongo512 Dec
Video Mpya ya Ben Pol ‘Ningefanyaje’ kutambulishwa kwa mara ya kwanza SoundCity Tv Nigeria Dec.12
![ben soundcity](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ben-soundcity-300x194.jpg)
Ben Pol amezianza rasmi mbio za kuelekea safari yake ya kimataifa, kwanza kwa kufanikiwa kushoot video yake ya kwanza na director wa nje, Justin Campos wa Afrika Kusini, na sasa video hiyo imepewa baraka za kutambulishwa na kituo kikubwa cha runinga cha Nigeria, SoundCity TV.
Video ya ‘Ningefanyaje’ aliyomshirikisha muimbaji mrembo wa Kenya, Avril pamoja na Rossie M itatambulishwa kwa mara ya kwanza Jumamosi Dec.12 kwenye kipindi cha Top 10 East saa tano asubuhi saa za Afrika...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)
Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]
The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...