Mabibi na mabwana tumealikwa na Ben Pol kuitazama hapa video yake mpya ‘ningefanyaje’
Staa wa R’n’B Tanzania ambaye ni mshindi wa tuzo za KTMA Ben Pol ametuletea video mpya ya single ya ‘ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril na Rossie M, video imefanywa South Africa na director Justin Campos Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu […]
The post Mabibi na mabwana tumealikwa na Ben Pol kuitazama hapa video yake mpya ‘ningefanyaje’ appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Tumealikwa kuitazama video mpya ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella hapa !
Ni wimbo wa pamoja wa Alikiba na Christian Bella na video ilifanywa Afrika Kusini… itazame hapa chini alafu tuachie comment yako umeionaje na itawafikia.
The post Tumealikwa kuitazama video mpya ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella hapa ! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo512 Dec
Video Mpya ya Ben Pol ‘Ningefanyaje’ kutambulishwa kwa mara ya kwanza SoundCity Tv Nigeria Dec.12
![ben soundcity](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ben-soundcity-300x194.jpg)
Ben Pol amezianza rasmi mbio za kuelekea safari yake ya kimataifa, kwanza kwa kufanikiwa kushoot video yake ya kwanza na director wa nje, Justin Campos wa Afrika Kusini, na sasa video hiyo imepewa baraka za kutambulishwa na kituo kikubwa cha runinga cha Nigeria, SoundCity TV.
Video ya ‘Ningefanyaje’ aliyomshirikisha muimbaji mrembo wa Kenya, Avril pamoja na Rossie M itatambulishwa kwa mara ya kwanza Jumamosi Dec.12 kwenye kipindi cha Top 10 East saa tano asubuhi saa za Afrika...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Ben Pol aeleza sababu zilizopelekea Avril kutoonekana kwenye video ya ‘Ningefanyaje’
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake – ‘NINGEFANYAJE’, muimbaji wa R&B kutoka Tanzania, Bernard Paul maarufu kama Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avrilkutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Afrika Kusini, Ben Pol anaonekana akiimba na Rossie M ambaye pia ameshirikishwa kwenye wimbo huo huku mashabiki wakiisikia...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Mabibi na Mabwana Quick Rocka katuletea hii single mpya ‘Queen’ isikilize hapa,…(+Audio)
Ni time ya kusikiliza hii single mpya ya msanii kutokea 87.8 Mbeya City, Quick Rocka wimbo unaitwa Queen. Nakukaribisha kwenye link hii mtu wangu, unaweza kuisikiliza kwenye link ya Mkito HAPA..>>> Quick Rocka ‘Queen’ Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post Mabibi na Mabwana Quick Rocka katuletea hii single mpya ‘Queen’ isikilize hapa,…(+Audio) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kllm5XU0wKs/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Mabibi na Mabwana Prezzo katuletea hii video mpya ‘Mrembo’ itazame hapa….(+Video)
Rapper kutokea 254, Prezzo time hii ametuletea hii video yake mpya ya single iitwayo ‘Mrembo’ itazame hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana naMillardAyo kwenye Twitter, FB, Instagram […]
The post Mabibi na Mabwana Prezzo katuletea hii video mpya ‘Mrembo’ itazame hapa….(+Video) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Mabibi na Mabwana Ommy Dimpoz katuletea hii video mpya ‘Achia Body’
Ni time ya kuitazama hii video ya single mpya ya Ommy Dimpoz iitwayo Achia Body. Hii ndio video ya single mpya ya Ommy Dimpoz baada ya kushine na video yake ya Wanjera. Enjoy hapa mtu wangu video yenyewe. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma […]
The post Mabibi na Mabwana Ommy Dimpoz katuletea hii video mpya ‘Achia Body’ appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
‘Ningefanyaje’ yamfungia mwaka Ben Pol
NA BADI MCHOMOLO
MKALI wa muziki wa RnB nchini, Benard Paul ‘Ben Pol’, anaumaliza mwaka kwa kuachia video ya Ningefanyaje ambayo amemshirikisha msanii kutoka nchini Kenya, Aviril Nyambura.
Video hiyo tayari imeachiwa jana katika vituo mbalimbali vya runinga hapa nchini, huku ikiwa imeandaliwa na mtayarishaji Mswaki.
Ben Pol amesema vipande vya video hiyo vimefanyika mjini Pretoria, nchini Afrika Kusini chini ya mwongozaji, Justin Campos, akiwa na kampuni yake ya Gorilla Films.
Msanii huyo...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Mabibi na Mabwana Mr Blue katuletea hii video mpya ‘Baki na Mimi’ hautajutia dakika zako..
Jina lake ni Herry Samir lakini kwenye hit songs ni jina la Mr Blue ndio lipo, sasa time hii ametusogezea video ya single yake mpya inaitwa ‘Baki na mimi’ na video ni production ya Kwetu Studios, ukishaitazama sio mbaya ukiacha comment yako akipita Blue mwenyewe aione Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Mabibi na Mabwana Mr Blue katuletea hii video mpya ‘Baki na Mimi’ hautajutia dakika zako.. appeared first on...