New Zealand kupigia kura bendera mpya
Raia nchini New Zealand wawanapiga kura kuchagua bendera ambayo huenda ikachukua nafasi ya bendera ya sasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Oct
BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA UTAWALA BORA,MUKASA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-exb7q6ZvuPM%2FVDgnWFUJAxI%2FAAAAAAAAX7o%2FBPa2BPcl6u0%2Fs1600%2FUNGA%252B005.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-MnYA9Vprszg%2FVDgna_36AvI%2FAAAAAAAAX7w%2F6s-GjrLilG8%2Fs1600%2FUNGA%252B006.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria.
Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MnYA9Vprszg/VDgna_36AvI/AAAAAAAAX7w/6s-GjrLilG8/s72-c/UNGA%2B006.jpg)
BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA KWA UTAWALA BORA - MUKASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MnYA9Vprszg/VDgna_36AvI/AAAAAAAAX7w/6s-GjrLilG8/s1600/UNGA%2B006.jpg)
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria. Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Sep
Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?
Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]
The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Akamatwa na kadi 90 za kupigia kura
Na Elias Msuya
MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Salome Mahala, amekamatwa hivi karibuni katika Kata ya Nsimbo Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, akiandikisha namba za kadi za kupigia kura.
Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini, mwananchi wa kijiji cha Katumba wilayani humo, alisema Mahala alikamatwa Jumatatu asubuhi akiwa na kadi 93 alizokusanya kwa wananchi akidai anaandikisha wanachama wa CCM.
“Tumemkamata huyo mama na kumfikisha katika kituo cha polisi cha mkoa akiwa na...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Wachoma vifaa vya kupigia kura
WATU wapatao 200 wakiwa na silaha za jadi wameteketeza vifaa vyote vya kupigia kura kwa kuvichoma moto yakiwemo makasha 45 ya kuhifadhia kura wakidai kuwa yalikuwa na kura ambazo tayari zilikuwa zimeshapigwa.
9 years ago
Habarileo12 Oct
Waaswa kutouza kadi za kupigia kura
WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza kadi zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze, kwani wakifanya hivyo watashindwa kuwachagua viongozi wanaowataka.
9 years ago
Habarileo26 Oct
‘Wakamata’ vifaa vya kupigia kura
WAKAZI wa kata za Makuyuni na Kilema Kati wilayani Moshi Vijijini wamekamata baadhi ya masanduku na vifaa vya kupigia kura katika Jimbo la Vunjo juzi vinavyodaiwa kuwa ni kwa ajili ya kusaidia ushindi kwa baadhi ya wagombea.
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Karatasi za kupigia kura zanaswa D’Salaam