Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA UTAWALA BORA,MUKASA

Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Lilian Mukasa akisoma hotuba katika kikao cha Kamati ya Sita ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani 
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria. 
Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA KWA UTAWALA BORA - MUKASA

Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Lilian Mukasa akisoma hotuba katika kikao cha Kamati ya Sita ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria. Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo...

 

11 years ago

Michuzi

Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora yatinga Makao makuu ya TASAF

Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Abdallah Sallehe Ahmed akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani).
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge Ujerumani kupigia kura operesheni dhidi ya IS

Bunge nchini Ujerumani leo litapiga kura kuamua iwapo taifa hilo litasaidia katika mashambulio dhidi ya wanamgambo wa Islamic State nchini Syria.

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema si dhambi kwa wananchi kupiga kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi

BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...

 

9 years ago

BBCSwahili

New Zealand kupigia kura bendera mpya

Raia nchini New Zealand wawanapiga kura kuchagua bendera ambayo huenda ikachukua nafasi ya bendera ya sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Bunge kutuma ofisa Saudia kusimamia kura

>Ofisi ya Bunge la Katiba itamtuma ofisa wake kwenda Makka, Saudi Arabia kusimamia upigaji kura kupitisha Katiba inayopendekezwa kwa wajumbe wa Bunge hilo wanaokwenda Hijja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: CHADEMA isiposimamia utawala bora inyimeni kura

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa, alisema kama chama chake hakitasimamia misingi ya utawala bora, hakuna sababu ya wananchi kukichagua kuongoza nchi katika uchaguzi...

 

9 years ago

StarTV

Repoa yaitaka serikali mpya kuzingatia utawala bora

Taasisi ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (REPOA) imetoa ripoti ya mapendekezo ya kisera kwa serikali mpya itakayoingia madarakani baada ya uchaguzi kuzingatia utawala bora kwa kupambana na rushwa ndani ya sekta za umma na binafsi katika kudhibiti mali za umma.

Mapendekezo mengine ni pamoja na kutengeneza mfumo wa kodi ulio wa haki unaoboresha makusanyo ya mapato, ajira, miundombinu, utekelezaji wa sera na kuongeza nidhamu katika mfumo wa kutoa huduma za umma.

Kutokana na udhaifu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani