BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA UTAWALA BORA,MUKASA
Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Lilian Mukasa akisoma hotuba katika kikao cha Kamati ya Sita ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria.
Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MnYA9Vprszg/VDgna_36AvI/AAAAAAAAX7w/6s-GjrLilG8/s72-c/UNGA%2B006.jpg)
BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA KWA UTAWALA BORA - MUKASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MnYA9Vprszg/VDgna_36AvI/AAAAAAAAX7w/6s-GjrLilG8/s1600/UNGA%2B006.jpg)
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria. Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M8-AdoWky8g/UuuNMuwcfwI/AAAAAAACZsU/VFk62pyec08/s72-c/New+Picture.png)
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora yatinga Makao makuu ya TASAF
![](http://2.bp.blogspot.com/-M8-AdoWky8g/UuuNMuwcfwI/AAAAAAACZsU/VFk62pyec08/s1600/New+Picture.png)
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Bunge Ujerumani kupigia kura operesheni dhidi ya IS
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi
BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
New Zealand kupigia kura bendera mpya
10 years ago
Mwananchi24 Sep
KATIBA MPYA: Bunge kutuma ofisa Saudia kusimamia kura
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Dk. Slaa: CHADEMA isiposimamia utawala bora inyimeni kura
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa, alisema kama chama chake hakitasimamia misingi ya utawala bora, hakuna sababu ya wananchi kukichagua kuongoza nchi katika uchaguzi...
9 years ago
StarTV23 Oct
Repoa yaitaka serikali mpya kuzingatia utawala bora
Taasisi ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (REPOA) imetoa ripoti ya mapendekezo ya kisera kwa serikali mpya itakayoingia madarakani baada ya uchaguzi kuzingatia utawala bora kwa kupambana na rushwa ndani ya sekta za umma na binafsi katika kudhibiti mali za umma.
Mapendekezo mengine ni pamoja na kutengeneza mfumo wa kodi ulio wa haki unaoboresha makusanyo ya mapato, ajira, miundombinu, utekelezaji wa sera na kuongeza nidhamu katika mfumo wa kutoa huduma za umma.
Kutokana na udhaifu wa...