Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi
BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Bunge Ujerumani kupigia kura operesheni dhidi ya IS
11 years ago
Habarileo20 Feb
Werema: Bunge la Katiba lina mamlaka kurekebisha Rasimu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wana mamlaka ya kurekebisha Rasimu ya Katiba lakini hawawezi kuondoa misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya kijamii. Aidha, amesema madai ya kuwapo kwa rasimu vya vyama na makundi mbalimbali ni upotoshaji, ila si vyema kuzipiga mateke, bali wajumbe wazisome.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LPLCZOkCVCk/VhURBIq50jI/AAAAAAAH9aM/wNMyDD0leOw/s72-c/download.jpg)
TUME YAWAASA WANANCHI KUTOSIMAMA KATIKA VITUO VYA KUPIGIA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LPLCZOkCVCk/VhURBIq50jI/AAAAAAAH9aM/wNMyDD0leOw/s1600/download.jpg)
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva alipokuwa akifungua mkutano wa tume na waratibu wa uchaguzi wa mikoa, wasimamizi wa uchaguzi na makamanda...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA UTAWALA BORA,MUKASA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-exb7q6ZvuPM%2FVDgnWFUJAxI%2FAAAAAAAAX7o%2FBPa2BPcl6u0%2Fs1600%2FUNGA%252B005.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-MnYA9Vprszg%2FVDgna_36AvI%2FAAAAAAAAX7w%2F6s-GjrLilG8%2Fs1600%2FUNGA%252B006.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria.
Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MnYA9Vprszg/VDgna_36AvI/AAAAAAAAX7w/6s-GjrLilG8/s72-c/UNGA%2B006.jpg)
BUNGE KUPIGIA KURA KATIBA MPYA NI ISHARA YA KUIMARIKA KWA UTAWALA BORA - MUKASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MnYA9Vprszg/VDgna_36AvI/AAAAAAAAX7w/6s-GjrLilG8/s1600/UNGA%2B006.jpg)
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imesema kuwa mchakato wa kuandaa Katiba mpya ambayo imepitishwa na Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni ni ishara ya wazi kuwa, Serikali imedhamiria kuongoza nchi kwa mujibu ya matakwa ya wananchi wake na kuzingatia Utawala wa Sheria. Kauli hiyo ilitolewa na Afisa wa Wizara ya Mambo...
11 years ago
Mwananchi18 May
‘Kuna dalili Bunge la Katiba litapora mamlaka ya wananchi’
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Matokeo rasmi ya kura za kupitisha rasimu ya Katiba Bunge Maalum mjini Dodoma
Idadi ya Wabunge ni 219
Waliopiga kura154
Wasiopiga Kura 65
Akidi inayotakiwa kura 146
Kura za NDIYO 147
Kura za HAPANA 7
TANGANYIKA
Idadi ya Wabunge 411
Waliopiga kura 335
Wasiopiga Kura 76
Akidi inayotakiwa kura 274
Kura za NDIYO 331
Kura za HAPANA 1 hadi 4
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Sep
Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?
Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]
The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.