Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ben Pol, Kiba, Vanessa Mdee, Fid Q kuwasha moto Coke Studio Africa

Ben-Pol_fullvanessa-620x400alikiba1fid-qNA MWANDISHI WETU

WASANII nguli wa muziki nchini, Ben Pol, Ali Kiba, Fid Q na Vanessa Mdee, wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya  burudani ya muziki, maarufu kama Coke Studio Africa litakaloanza mapema wiki ijayo.

Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani ‘Kolabo’.

Kolabo ya wasanii 55 itashirikisha wasanii wawili kutoka nchi mbili tofauti kuimba nyimbo mbili za mitindo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ne-Yo awanyanyua Ali Kiba, Vanessa Mdee, Ben Pol, Fid Q

Neyo na Ali kibaNA MWANDISHI WETU

MWIMBAJI maarufu duniani wa miondoko ya R&B kutoka Marekani, Ne-Yo, ameacha gumzo kwa wapenzi wa muziki wanaofuatilia onyesho la Coke Studio kutokana na umahiri aliouonyesha katika kolabo alizofanya na wasanii kutoka barani Afrika.

Katika msimu huu, amefanya kolabo na wanamuziki Wangechi (Kenya), Ali Kiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Msumbiji) na  Ice Prince (Nigeria).

Kolabo alizofanya na wasanii hao zimeleta burudani ya pekee kwa wapenzi wa muziki wa...

 

9 years ago

Michuzi

ALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO

Description: https://pbs.twimg.com/profile_images/529573534352175104/FGz58F-d.pngWASANII nguli wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya kesho Jumamosi watawasha moto katika onyesho la muziki la Coke studio linalorushwa na luninga ya Clouds kila siku ya Jumamosi.
Ali Kiba ambaye anatamba na kwa vibao vyake mbalimbali katika msimu huu wa Coke Studio amefanya Kolabo matata (Mash- up) kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike maarufu kutoka nchini Kenya ,Victoria Kimani.
Wasanii wengine kutoka Tanzania waliopo kwenye msimu wa tatu wa Coke...

 

9 years ago

GPL

ALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO‏

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba (kulia) kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya. Wasanii nguli wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya kesho Jumamosi watawasha moto katika onyesho la muziki la Coke studio linalorushwa na luninga ya Clouds kila siku ya Jumamosi. Ali Kiba ambaye anatamba na kwa vibao vyake mbalimbali katika msimu huu wa Coke Studio amefanya Kolabo matata...

 

9 years ago

Africanjam.Com

COKE STUDIO AFRICA MASH UP: 2FACE & VANESSA MDEE "Vee Money" - AFRICAN QUEEN / NOBODY BUT ME



Published on Oct 25, 2015Producer Cobhams mashes up an African classic with an East African chart topper for Vanessa Mdee and 2Face to perform on Coke Studio Africa.
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also...

 

9 years ago

GPL

BEN POL: USTAA ULINIFANYA NIITWE COKE STUDIO

Mkali wa R&B nchini, Benard Paul ‘Ben Pol. MKALI wa R&B nchini, Benard Paul ‘Ben Pol’ ameweka wazi sababu za kuitwa kwenye msimu mpya na wa tatu wa Coke Studio uliofanyika nchini Kenya wiki kadhaa zilizopita kuwa ustaa ulichangia kuitwa kwake. Akizungumza na Risasi Vibes, Ben Pol anayetamba na Wimbo wa Sophia alisema kuwa, hakuwa anajua kama atashiriki msimu huu mpya, lakini alishangaa kupigiwa simu na Coke...

 

10 years ago

Vijimambo

Ben Pol, Wangechi watisha ‘Coke Studio Afrika’ Kenya

 Msanii wa kizazi kipya na mkali wa miondoko ya R&B Ben Pol akitumbuiza katika jukwaa la Coke Studio wakati wa tamasha la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika mwishoni mwa wiki nchini Kenya. Wasanii wengine walikuwepo katika tamasha hilo ni Wangechi (Kenya) pamoja na Silver Stone (Ghana)

 Msanii wa kizazi kipya na mkali wa miondoko ya R&B Ben Pol kutoka nchini (kulia) na Wangechi kutoka Kenya wakitumbuiza katika jukwaa la Coke Studio wakati wa tamasha la Coke Studio Afrika msimu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Vijana watano kutoka Tanzania watumbuiza na Ben Pol jukwaa la 'Coke Studio Afrika' Kenya

Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoedeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya.Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika  kila...

 

9 years ago

TheCitizen

Coke studio Africa has taken me to new heights: Ali Kiba

Tanzania’s Bongo Flava music mogul Ali Kiba says is proud of taking part in the Coke studio Africa season 3 attributing the move as one of his success in music carrier.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani