Coke studio Africa has taken me to new heights: Ali Kiba
Tanzania’s Bongo Flava music mogul Ali Kiba says is proud of taking part in the Coke studio Africa season 3 attributing the move as one of his success in music carrier.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
ALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO
Ali Kiba ambaye anatamba na kwa vibao vyake mbalimbali katika msimu huu wa Coke Studio amefanya Kolabo matata (Mash- up) kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike maarufu kutoka nchini Kenya ,Victoria Kimani.
Wasanii wengine kutoka Tanzania waliopo kwenye msimu wa tatu wa Coke...
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
Onyesho la Coke Studio lazidi kupaisha mafanikio yangu-Ali Kiba
Ali Kiba na Victoria Kimani wakishambulia jukwaa ndani ya Coke Studio.
–Awataka wasanii wachanga kujituma ili waweze kushiriki kwenye onyesho kama hili
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema moja ya mafanikio anayojivunia nayo katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.
Ali Kiba ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba katika anga ya muziki wa Bongo Fleva...
10 years ago
GPLALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO
9 years ago
Africanjam.ComCOKE STUDIO MASH UP: NEYO, ALI KIBA, DAMA, ICE PRINCE, MAURICE KIRYA & WANGECHI - REASON
Published on Dec 6, 2015Coke Studio Africa welcomes R&B Superstar NE-YO who works with Wangechi (Kenya), Alikiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Mozambique) and Ice Prince (Nigeria) on a special Coke Studio Africa song. The five select stars have already recorded mash-ups that have rocked this season.
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela...
10 years ago
Mtanzania05 Oct
Ben Pol, Kiba, Vanessa Mdee, Fid Q kuwasha moto Coke Studio Africa
NA MWANDISHI WETU
WASANII nguli wa muziki nchini, Ben Pol, Ali Kiba, Fid Q na Vanessa Mdee, wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki, maarufu kama Coke Studio Africa litakaloanza mapema wiki ijayo.
Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani ‘Kolabo’.
Kolabo ya wasanii 55 itashirikisha wasanii wawili kutoka nchi mbili tofauti kuimba nyimbo mbili za mitindo...
11 years ago
Vijimambo30 Oct
10 years ago
TheCitizen15 May
Coke Studio Africa season three is on
11 years ago
Dewji Blog12 Sep
Uzindizi wa Coke Studio Africa wafana
Kutoka kushoto ni Joh Makini, Shaa, Bukuku (Mc wa shughuli hiyo), Brand Manager wa Coca Cola, Maurice Njowoka na Vanessa Mdee.
‘Coke Studio Africa’ msimu wa pili
Vanessa Mdee, Shaa, Joh Makini Diamond ‘live’ TBC1,TBC2
Na Andrew Chale
Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola, ilizindua msimu wa pili wa onyesho la luninga lijulikanalo kama ‘Coke Studio Africa’ ambalo linatarajiwa konyeshwa kila Jumatatu na kituo cha Shirika la Utangazaji cha TBC.
Akizungumza na wandishi wa habari wakati wa...
11 years ago
GPLUZINDUZI WA COKE STUDIO AFRICA WAFAANA DAR