Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coke Studio Africa season three is on

>Following the success of Coke Studio Africa Season 2, The Coca-Cola Company, in partnership with Kenya Airways, is happy to announce the return of its flagship African music show for the 3rd  season.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Atarajiwa New Season ya Coke Studio Season 3

Exclusive: Wasanii wa Bongo Watajumuika Coke Studio Africa Mwaka Huu
Duru za kuaminika zatueleza ya kwamba huu mwaka wasanii wakubwa bongo kama Ali Kiba anayejulikana kama mfalme wa muziki bongo, msanii maarufu zaidi, wanatarajiwa kujumuika katika new season ya Coke Studio.Mwingine aliyeandikia bongo hip hop love song pia anaweza kua kati ya wasanii ambao wanatarajiwa kuungana na wasanii kutoka Kenya, Uganda, Mozambique na Nigeria.mwaka huu.
Celebrities wengi kutoka bongo wameonekana Nairobi...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Dewji Blog

Uzindizi wa Coke Studio Africa wafana

IMG_6702

Kutoka kushoto ni Joh Makini, Shaa, Bukuku (Mc wa shughuli hiyo), Brand Manager wa Coca Cola, Maurice Njowoka na Vanessa Mdee.

‘Coke Studio Africa’ msimu wa pili

Vanessa Mdee, Shaa, Joh Makini Diamond ‘live’ TBC1,TBC2

Na Andrew Chale

Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola,  ilizindua msimu wa pili wa onyesho la luninga lijulikanalo kama  ‘Coke Studio Africa’ ambalo linatarajiwa konyeshwa kila Jumatatu na kituo cha Shirika la Utangazaji cha TBC.

Akizungumza na wandishi wa habari wakati wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Coke studio Africa has taken me to new heights: Ali Kiba

Tanzania’s Bongo Flava music mogul Ali Kiba says is proud of taking part in the Coke studio Africa season 3 attributing the move as one of his success in music carrier.

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA COKE STUDIO AFRICA WAFAANA DAR‏

Mwanamitindo Rio Paul (kulia) akiwa na rafiki zake muda mfupi baada ya uzinduzi wa msimu wa pili wa  Coke studio Africa, Hyatt Hotel, jijini dar es Salaam. Wanamuziki  Vanessa Mdee, Jo Makini na Shaa wakiwa katika picha ya pamoja kwenye 'red Carpet  wakati wa uzinduzi huo. Kutoka…

 

10 years ago

Vijimambo

Ne-Yo kutumbuiza Coke Studio Africa nchini Kenya na nyota wa Afrika

Kufuatia tetesi mbalimbali kuhusu ujio wa mkali wa miondoko ya R&B na Pop NE-YO katika onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu, sasa imethibitishwa kuwa msanii huyo atakuja rasmi.

NE-YO ambaye atakuwa ndiye mgeni pekee kutoka nje ya Afrika, ataambatana na nyota wengine wa Afrika ambao ni Wangechi (Kenya), Alikiba  (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Mozambique) na Ice Prince (Nigeria) ambapo wataungana kufanya nyimbo moja.

Kuelekea ujio wake nchini Kenya, NE-YO  ametoa...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Diamond kurekodi na Yemi Alade kwenye Coke Studio Africa

Diamond Platnumz amerejea tena kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa na awamu hii atatangeneza pair na hitmaker wa Johny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Diamond na Yemi Alade Diamond ni msanii wa nne mwaka huu kutoka Tanzania aliyeshiriki kwenye kipindi hicho kinachorekodiwa jijini Nairobi, Kenya. Wengine ni Vanessa Mdee aliyerekodi na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani