Atarajiwa New Season ya Coke Studio Season 3
Exclusive: Wasanii wa Bongo Watajumuika Coke Studio Africa Mwaka Huu
Duru za kuaminika zatueleza ya kwamba huu mwaka wasanii wakubwa bongo kama Ali Kiba anayejulikana kama mfalme wa muziki bongo, msanii maarufu zaidi, wanatarajiwa kujumuika katika new season ya Coke Studio.Mwingine aliyeandikia bongo hip hop love song pia anaweza kua kati ya wasanii ambao wanatarajiwa kuungana na wasanii kutoka Kenya, Uganda, Mozambique na Nigeria.mwaka huu.
Celebrities wengi kutoka bongo wameonekana Nairobi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen15 May
Coke Studio Africa season three is on
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fSwLO0jlpak/Vg28TFxOGvI/AAAAAAAD_Nc/RoSAHApw5po/s72-c/ALI%2BKIBA%2B-%2BVICTORIA%2BCoke%2BStudio%2B2015-Emailer%2B9%2BDays-01.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Oct
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Coke studio yaleta burudani nchini
Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri.
-Mamia waburudika Coke Party mikoa ya Dar, Mwanza, Mbeya na Arusha
Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee, Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face.
Baada ya uzinduzi...
9 years ago
MichuziSHANGWE YA COKE STUDIO YAENDELEA MASHULENI
- Mwanza,Dar,Mbeya na Arusha waonyesha vipaji vyao vya kuimba Msimu wa Coke studio mwaka huu ambao...
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Uzindizi wa Coke Studio Africa wafana
Kutoka kushoto ni Joh Makini, Shaa, Bukuku (Mc wa shughuli hiyo), Brand Manager wa Coca Cola, Maurice Njowoka na Vanessa Mdee.
‘Coke Studio Africa’ msimu wa pili
Vanessa Mdee, Shaa, Joh Makini Diamond ‘live’ TBC1,TBC2
Na Andrew Chale
Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola, ilizindua msimu wa pili wa onyesho la luninga lijulikanalo kama ‘Coke Studio Africa’ ambalo linatarajiwa konyeshwa kila Jumatatu na kituo cha Shirika la Utangazaji cha TBC.
Akizungumza na wandishi wa habari wakati wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hp6m8apOIrk/ViAJs2Q_dCI/AAAAAAAIAHc/IIHbvMVOz70/s72-c/dar%2Bcoka%2B6.jpg)
COKE STUDIO YALETA BURUDANI KINOMAAAAAAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hp6m8apOIrk/ViAJs2Q_dCI/AAAAAAAIAHc/IIHbvMVOz70/s640/dar%2Bcoka%2B6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--2E0AAi2yQU/ViAJt7szJBI/AAAAAAAIAHw/McO8msxU_aA/s640/dar%2Bcoke%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-A1imH8-FuRk/ViAJuHmD8_I/AAAAAAAIAHs/hSBReq4twSE/s640/dar%2Bcoke%2B5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lnKiKfzAj_0/ViAJwbr3ATI/AAAAAAAIAIA/MmFOMFeSb0w/s640/mwanza%2B5.jpg)
9 years ago
GPLFID Q NA MAURICE NDANI YA COKE STUDIO LEO
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...