COKE STUDIO YALETA BURUDANI KINOMAAAAAAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hp6m8apOIrk/ViAJs2Q_dCI/AAAAAAAIAHc/IIHbvMVOz70/s72-c/dar%2Bcoka%2B6.jpg)
Studio party ulikuwa mjumuiko ulioleta furaha kwa wengi kama inavyoonekana katika kiwanja cha Maisha Club
Baadhi ya mayanki waliohudhuria Coke Studio party wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam.
Ilikuwa ni burudani kubwa vijana wakicheza muziki kwa furaha ndani ya Maisha Club
Vijana wakishiriki kuimba Coke Studio Party mkoani Mwanza
Zawadi mbalimbali zilitolewa katika party ya Mwanza kama anavyoonekana Masai akijichukulia zawadi katika party ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Coke studio yaleta burudani nchini
Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri.
-Mamia waburudika Coke Party mikoa ya Dar, Mwanza, Mbeya na Arusha
Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee, Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face.
Baada ya uzinduzi...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--G-UxeZKS1U/Vh-mBOv2hcI/AAAAAAAAhyw/E1ac5HbwUUw/s72-c/dar%2Bcoca%2B1.jpg)
COKE STUDIO YALETA BURUDANI DAR, MWANZA, ARUSHA NA MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/--G-UxeZKS1U/Vh-mBOv2hcI/AAAAAAAAhyw/E1ac5HbwUUw/s640/dar%2Bcoca%2B1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Shangwe ya Coke studio yaleta furaha kwa wanafunzi mashuleni
Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Sunrise ya mjini Mwanza Janeth Malima akionyesha kipaji cha kucheza kwenye tamasha la Coke Studio lililofanyika shuleni hapo.
Wanafunzi wa shule za sekondari za Bwiru na Sunrise wakionyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba wakati wa tamasha la Coke studio.
Wanafunzi wakifuatilia burudani za tamasha la Coke Studio wakiburudika na kinywaji cha Coca-Cola.
Wanafunzi waliofika kwenye matamasha wakigawiwa kinywaji.
Wanafunzi wakipozi na kinywaji chao cha...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii
Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio.
Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.
Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.
Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio kama wanavyoonekana katika moja ya tamasha la Coke Studio.
-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani
Onyesho la...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fSwLO0jlpak/Vg28TFxOGvI/AAAAAAAD_Nc/RoSAHApw5po/s72-c/ALI%2BKIBA%2B-%2BVICTORIA%2BCoke%2BStudio%2B2015-Emailer%2B9%2BDays-01.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Oct
10 years ago
TheCitizen15 May
Coke Studio Africa season three is on
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Uzindizi wa Coke Studio Africa wafana
Kutoka kushoto ni Joh Makini, Shaa, Bukuku (Mc wa shughuli hiyo), Brand Manager wa Coca Cola, Maurice Njowoka na Vanessa Mdee.
‘Coke Studio Africa’ msimu wa pili
Vanessa Mdee, Shaa, Joh Makini Diamond ‘live’ TBC1,TBC2
Na Andrew Chale
Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola, ilizindua msimu wa pili wa onyesho la luninga lijulikanalo kama ‘Coke Studio Africa’ ambalo linatarajiwa konyeshwa kila Jumatatu na kituo cha Shirika la Utangazaji cha TBC.
Akizungumza na wandishi wa habari wakati wa...
9 years ago
MichuziSHANGWE YA COKE STUDIO YAENDELEA MASHULENI
- Mwanza,Dar,Mbeya na Arusha waonyesha vipaji vyao vya kuimba Msimu wa Coke studio mwaka huu ambao...