Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COKE STUDIO YALETA BURUDANI DAR, MWANZA, ARUSHA NA MBEYA

 Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri. *************Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee,Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face. Baada ya uzinduzi huo zilifanyika party za kukata na shoka katika viwanja...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

COKE STUDIO YALETA BURUDANI KINOMAAAAAAA

 Studio party ulikuwa mjumuiko ulioleta furaha kwa wengi kama inavyoonekana katika kiwanja cha Maisha Club Baadhi ya mayanki waliohudhuria Coke Studio party wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam.Ilikuwa ni burudani kubwa vijana wakicheza muziki kwa furaha ndani ya Maisha Club Vijana wakishiriki kuimba Coke Studio Party mkoani Mwanza  Zawadi mbalimbali zilitolewa katika party ya Mwanza kama anavyoonekana Masai akijichukulia zawadi katika party ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Coke studio yaleta burudani nchini

dar coca 1

Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri.

-Mamia waburudika Coke Party mikoa ya Dar, Mwanza, Mbeya na Arusha

Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee, Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face.

Baada ya uzinduzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe ya Coke studio yaleta furaha kwa wanafunzi mashuleni

Coke mwanza 8

Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Sunrise ya mjini Mwanza Janeth Malima akionyesha kipaji cha kucheza kwenye tamasha la Coke Studio lililofanyika shuleni hapo.

coke mwanza 5

Wanafunzi wa shule za sekondari za Bwiru na Sunrise wakionyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba wakati wa tamasha la Coke studio.

coke mwanza 9

coke mwanza 12

Wanafunzi wakifuatilia burudani za tamasha la Coke Studio wakiburudika na kinywaji cha Coca-Cola.

coke arusha 1

Wanafunzi waliofika kwenye matamasha wakigawiwa kinywaji.

Coke mwanza 2

Wanafunzi wakipozi na kinywaji chao cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii

COKE STUDIO PICHA 3

Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha  la Coke Studio.

PICHA COKE 1

Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.

COKE STUDIO PICHA 5

Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.

COKE STUDIO PICHA 2

Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio  kama wanavyoonekana  katika moja ya tamasha la Coke Studio.

-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani

Onyesho la...

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA COKE STUDIO AFRICA WAFAANA DAR‏

Mwanamitindo Rio Paul (kulia) akiwa na rafiki zake muda mfupi baada ya uzinduzi wa msimu wa pili wa  Coke studio Africa, Hyatt Hotel, jijini dar es Salaam. Wanamuziki  Vanessa Mdee, Jo Makini na Shaa wakiwa katika picha ya pamoja kwenye 'red Carpet  wakati wa uzinduzi huo. Kutoka…

 

9 years ago

Vijimambo

Vijana kutoka Dar washuhudia Coke Studio ‘live’ Nairobi.

Vijana kutoka Tanzania wakiawa katika picha ya pamoja na msanii kutoka Marekani Ne-Yo wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya. Msanii wa bongo fleva Ali Kiba akiwa na msichana wa kitanzania Patricia Kajange wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya. Msanii wa bongo fleva Ali Kiba akiwa na msichana wa kitanzania Barbara Mawalla wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika...

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

TheCitizen

Coke Studio Africa season three is on

>Following the success of Coke Studio Africa Season 2, The Coca-Cola Company, in partnership with Kenya Airways, is happy to announce the return of its flagship African music show for the 3rd  season.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani