Vijana kutoka Dar washuhudia Coke Studio ‘live’ Nairobi.
Vijana kutoka Tanzania wakiawa katika picha ya pamoja na msanii kutoka Marekani Ne-Yo wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya.
Msanii wa bongo fleva Ali Kiba akiwa na msichana wa kitanzania Patricia Kajange wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya.
Msanii wa bongo fleva Ali Kiba akiwa na msichana wa kitanzania Barbara Mawalla wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboVijana watano kutoka Tanzania watumbuiza na Ben Pol jukwaa la 'Coke Studio Afrika' Kenya
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya.Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika kila...
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya
Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoendeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.
Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika kila mwaka katika mataifa tofauti tofauti ya Afrika....
10 years ago
GPLUZINDUZI WA COKE STUDIO AFRICA WAFAANA DAR
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--G-UxeZKS1U/Vh-mBOv2hcI/AAAAAAAAhyw/E1ac5HbwUUw/s72-c/dar%2Bcoca%2B1.jpg)
COKE STUDIO YALETA BURUDANI DAR, MWANZA, ARUSHA NA MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/--G-UxeZKS1U/Vh-mBOv2hcI/AAAAAAAAhyw/E1ac5HbwUUw/s640/dar%2Bcoca%2B1.jpg)
10 years ago
GPLLIVE KUTOKA DAR LIVE: BURUDANI ZA MWANZO KABLA YA SHOO YA MWANA DAR LIVE
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fSwLO0jlpak/Vg28TFxOGvI/AAAAAAAD_Nc/RoSAHApw5po/s72-c/ALI%2BKIBA%2B-%2BVICTORIA%2BCoke%2BStudio%2B2015-Emailer%2B9%2BDays-01.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Oct
10 years ago
TheCitizen15 May
Coke Studio Africa season three is on
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Coke studio yaleta burudani nchini
Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri.
-Mamia waburudika Coke Party mikoa ya Dar, Mwanza, Mbeya na Arusha
Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee, Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face.
Baada ya uzinduzi...