Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shangwe ya Coke studio yaleta furaha kwa wanafunzi mashuleni

Coke mwanza 8

Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Sunrise ya mjini Mwanza Janeth Malima akionyesha kipaji cha kucheza kwenye tamasha la Coke Studio lililofanyika shuleni hapo.

coke mwanza 5

Wanafunzi wa shule za sekondari za Bwiru na Sunrise wakionyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba wakati wa tamasha la Coke studio.

coke mwanza 9

coke mwanza 12

Wanafunzi wakifuatilia burudani za tamasha la Coke Studio wakiburudika na kinywaji cha Coca-Cola.

coke arusha 1

Wanafunzi waliofika kwenye matamasha wakigawiwa kinywaji.

Coke mwanza 2

Wanafunzi wakipozi na kinywaji chao cha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SHANGWE YA COKE STUDIO YAENDELEA MASHULENI

Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Sunrise ya mjini Mwanza Janeth Malima akionyesha kipaji cha kucheza kwenye tamasha la Coke Studio lililofanyika shuleni hapo.
Wanafunzi wa shule za sekondari za Bwiru na Sunrise wakionyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba wakati wa tamasha la Coke studio.Wanafunzi wakifuatilia burudani za tamasha la Coke Studio wakiburudika na kinywaji cha Coca-Cola
- Mwanza,Dar,Mbeya na Arusha waonyesha vipaji vyao  vya kuimba Msimu wa Coke studio mwaka huu ambao...

 

9 years ago

GPL

SHANGWE YA COKE STUDIO YAWAFIKIA WANAFUNZI WA SEKONDARI YA MAKONGO‏

Msanii wa nyimbo za kizazi kipya Fid Q akitoa burudani kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Makongo jijini Dar es Salaam, wakati wa tamasha la Coke Studio lililandaliwa na Kampuni ya Coca-cola. Msanii wa nyimbo za kizazi kipya Fid Q akiwa amemshikia kipaza sauti mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Makongo jijini Dar es Salaam, Veisi Kakobo wakatia alipokuwa akionyesha kipaji chake cha kuimba wakati wa Tamasha la Coke Studio...

 

9 years ago

Dewji Blog

Coke studio yaleta burudani nchini

dar coca 1

Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri.

-Mamia waburudika Coke Party mikoa ya Dar, Mwanza, Mbeya na Arusha

Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee, Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face.

Baada ya uzinduzi...

 

9 years ago

Michuzi

COKE STUDIO YALETA BURUDANI KINOMAAAAAAA

 Studio party ulikuwa mjumuiko ulioleta furaha kwa wengi kama inavyoonekana katika kiwanja cha Maisha Club Baadhi ya mayanki waliohudhuria Coke Studio party wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam.Ilikuwa ni burudani kubwa vijana wakicheza muziki kwa furaha ndani ya Maisha Club Vijana wakishiriki kuimba Coke Studio Party mkoani Mwanza  Zawadi mbalimbali zilitolewa katika party ya Mwanza kama anavyoonekana Masai akijichukulia zawadi katika party ya...

 

9 years ago

Vijimambo

COKE STUDIO YALETA BURUDANI DAR, MWANZA, ARUSHA NA MBEYA

 Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri. *************Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wan je limeanza kurushwa nchini Jumamosi nchini kupitia luninga ya Clouds ikiwajumuisha wanamuziki Ally Kiba,Vanessa Mdee,Ben Pol na Fid Q ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na 2Face. Baada ya uzinduzi huo zilifanyika party za kukata na shoka katika viwanja...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii

COKE STUDIO PICHA 3

Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha  la Coke Studio.

PICHA COKE 1

Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.

COKE STUDIO PICHA 5

Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.

COKE STUDIO PICHA 2

Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio  kama wanavyoonekana  katika moja ya tamasha la Coke Studio.

-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani

Onyesho la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kolabo za Coke studio zawa gumzo kwa wapenzi wa muziki

Untitled

-Fid q na Maurice waleta raha

Wapenzi wa muziki nchini ambao wanafuatilia onyesho la Coke Studio kupitia luninga ya Clouds ambalo limeanza kuonyeshwa hivi karibuni wamesema linaleta burudani na Kolabo(mash-up) za mwaka huu imeshirikisha wanamuziki wenye mvuto na kipaji kikubwa.

Wakitoa maoni yao baada ya show ya nguli wa Bongleva Fid Q kutoka nchini na Maurice Kirya kutoka nchini Uganda walisema onyesho hili mwaka huu limezidi kuwa bora na kuleta raha kwa wapenzi wa muziki.

Walisema kuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Huawei yaleta furaha onyesho Bongo Star Search

Mamia ya wapenzi wa Muziki waliofika kwenye ukumbi wa King Solomon kushuhudia  fainali ya shindano la Bongo Star Search walipata fursa ya  kuona simu mbalimbali za kampuni ya Huawei zilizopo kwenye  soko la hapa nchini pia wenye bahati waliweza kujishindia simu ya kisasa aina ya P8 kutokana na droo iliyochezwa ukumbini hapo kabla ya shindano kuanza . Huawei ilikuwa moja ya makampuni yaliyodhamini shindano hilo.

-Wapenzi wa muziki wajishindia zawadi za simu

pict 1

Mfanyakazi katika banda la Huawei...

 

9 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani