Onyesho la Coke Studio lazidi kupaisha mafanikio yangu-Ali Kiba
Ali Kiba na Victoria Kimani wakishambulia jukwaa ndani ya Coke Studio.
–Awataka wasanii wachanga kujituma ili waweze kushiriki kwenye onyesho kama hili
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema moja ya mafanikio anayojivunia nayo katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.
Ali Kiba ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba katika anga ya muziki wa Bongo Fleva...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Coke studio Africa has taken me to new heights: Ali Kiba
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Coke Studio ni moja ya mafanikio katika safari yangu ya muziki-Ben Paul
.Wanamuziki Ben Paul na Fid Q wanaoshiriki kwenye onyesho la Coke Studio wakiwa katika picha ya pamoja na washabiki wao wakati wa uzinduzi wa onyesho hili jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
![BEN 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/BEN-3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fQjNmYQmQTM/Vin0rmkcK2I/AAAAAAAIB40/qTD_uWzolBM/s72-c/Ali-Kiba-akiwa-kwenye-pozi-ndani-ya-jukwaa-la-fiesta-Dodoma%2B%25281%2529.jpg)
ALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO
Ali Kiba ambaye anatamba na kwa vibao vyake mbalimbali katika msimu huu wa Coke Studio amefanya Kolabo matata (Mash- up) kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike maarufu kutoka nchini Kenya ,Victoria Kimani.
Wasanii wengine kutoka Tanzania waliopo kwenye msimu wa tatu wa Coke...
9 years ago
GPLALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO
9 years ago
Africanjam.ComCOKE STUDIO MASH UP: NEYO, ALI KIBA, DAMA, ICE PRINCE, MAURICE KIRYA & WANGECHI - REASON
Published on Dec 6, 2015Coke Studio Africa welcomes R&B Superstar NE-YO who works with Wangechi (Kenya), Alikiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Mozambique) and Ice Prince (Nigeria) on a special Coke Studio Africa song. The five select stars have already recorded mash-ups that have rocked this season.
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Onyesho la Coke Studio kuanza Jumamosi wiki hii
-Wasanii wa Tanzania Ali Kiba,Fid Q na Vanessa kuwasha moto
Wasanii nguli kutoka Tanzania wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki maarufu kwa jina la Coke Studio Afrika ambalo litaanza Jumamosi wiki hii .Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani “Kolabo”na litarushwa na kituo cha televisheni cha Clouds kuanzia saa 12 jioni.
Meneja wa Biashara za Coca-Cola...
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Ben Pol, Kiba, Vanessa Mdee, Fid Q kuwasha moto Coke Studio Africa
NA MWANDISHI WETU
WASANII nguli wa muziki nchini, Ben Pol, Ali Kiba, Fid Q na Vanessa Mdee, wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki, maarufu kama Coke Studio Africa litakaloanza mapema wiki ijayo.
Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani ‘Kolabo’.
Kolabo ya wasanii 55 itashirikisha wasanii wawili kutoka nchi mbili tofauti kuimba nyimbo mbili za mitindo...
10 years ago
GPL15 Jan
10 years ago
Bongo515 Jan
New Video: Mwana FA Ft Ali Kiba — Kiboko Yangu