ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo imetoa hukumu ya kesi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe ambapo imempa kinga ya muda kutojadiliwa uanachama wa ke na Kamati Kuu ya…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HUKUMU YA ZITTO KABWE KESHO SAA NANE
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa au kutotoa zuio la muda kwa Kamati Kuu ya Chadema kutojadili uanachama wa Zitto Kabwe mpaka kesho saa nane…
11 years ago
GPL06 Jan
11 years ago
GPL08 Jan
MWANASHERIA WA ZITTO KABWE, ALBERT MSANDO AKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA HUKUMU
(Video: Jelard Lucas / GPL)
5 years ago
BBCSwahili29 May
Zitto Kabwe kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kutokutoa matamshi ya uchochezi
Kiuongozi wa chama cha upinzani ACT-Wazalendo nchini Tanzania ametiwa hatiani na mahakama jijini Dar es Salaam na kuhukumiwa kifungo cha nje cha mwaka mmoja kwa sharti la kutokutoa kauli za kichochezi.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi leo imeifuta hukumu iliyomtia hatiani Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na kuamuru arejeshewe Sh1 milioni alizolipa kama faini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqIJRlagvGo/XkuWfPBy66I/AAAAAAALd2E/r-plicEL0lQ5JWkYClWI9hrs4HDyk6VzgCLcBGAsYHQ/s72-c/zitto%252Bpic.jpg)
NEWZ ALERT : MBUNGE ZITTO KABWE AKUTWA NA KESI YA KUJIBU
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqIJRlagvGo/XkuWfPBy66I/AAAAAAALd2E/r-plicEL0lQ5JWkYClWI9hrs4HDyk6VzgCLcBGAsYHQ/s640/zitto%252Bpic.jpg)
Zitto anakabiliwa na kesi ya uchochezi namba 237 ya mwaka 2018.
Taarifa kamili tutawaletea baadae.......
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Zitto Kabwe: Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu kiongozi wa ACT-Wazalendo
Zitto anakabiliwa na mashtaka matatu ya uchochezi anayodaiwa kuyatenda Oktoba 2018.
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Zitto ahusisha hukumu yake na escrow
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewaaga wapigakura wake kuwa hatakuwa tena mbunge wao, akisema kuwa kesi ya dhidi ya Chadema ilitupwa na Mahakama Kuu kutokana na baadhi ya majaji kutajwa kwenye kashfa ya escrow.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tyk0JWEk0oQ/U4dk1xbGpeI/AAAAAAAFmSE/a3tJvpsvxi0/s72-c/gavel.jpg)
Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la CHADEMA,Dkt. Slaa kusikilizwa Julai 31
![](http://1.bp.blogspot.com/-tyk0JWEk0oQ/U4dk1xbGpeI/AAAAAAAFmSE/a3tJvpsvxi0/s1600/gavel.jpg)
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza mapingamizi ya awali ya pande zote mbili katika kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Katibu Mkuu, Willbrod Slaa, Julai 31, mwaka huu.
Mheshimiwa, Jaji John Utamwa alisema kesi ilipangwa jana kwa ajili ya kutajwa na kwamba itasikilizwa mapongamizi ya awali ya pande zote mbili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania