Zitto Kabwe kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kutokutoa matamshi ya uchochezi
Kiuongozi wa chama cha upinzani ACT-Wazalendo nchini Tanzania ametiwa hatiani na mahakama jijini Dar es Salaam na kuhukumiwa kifungo cha nje cha mwaka mmoja kwa sharti la kutokutoa kauli za kichochezi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba
WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.
Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
ZITTO KABWE AHUKUMIWA KUTOONGEA MAMBO YA UCHOCHEZI MWAKA MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
Zitto amehukumiwa leo mahakamani hapo baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka matatu yaliyokuwa yanamkabili.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 29, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi 15 wa upande wa mashtaka na kuzingatia utetezi wa Zitto...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Zitto ruksa kukata rufaa Chadema
10 years ago
Habarileo30 Dec
DPP kukata rufaa dhidi ya ombi la Shehe Farid
MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP) amewasilisha katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kusudio la Kukata Rufaa dhidi ya uamuzi wa ombi lililowasilishwa na Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HUKUMU YA ZITTO KABWE KESHO SAA NANE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Akata rufaa dhidi ya hukumu ya ushoga
11 years ago
GPL06 Jan
11 years ago
GPL08 Jan
MWANASHERIA WA ZITTO KABWE, ALBERT MSANDO AKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA HUKUMU