Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto Kabwe: Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu kiongozi wa ACT-Wazalendo

Zitto anakabiliwa na mashtaka matatu ya uchochezi anayodaiwa kuyatenda Oktoba 2018.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi

Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi kutetea haki ya wasichana.

 

10 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA TABORA


4Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora juzi wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Town School, mara baada ya kuzindua Azimio la Tabora lililouhishwa kutoka azimio la Arusha.2Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Samson Mwigamba,  akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora juzi wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya ,Town School, mara baada ya kuzindua Azimio la Tabora lililouhishwa kutoka azimio la Arusha.3Mwenyekiti wa Chama cha...

 

10 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE, AWAHUTUBI WAKAZI WA MJI WA MPANDA


001Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubi wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara za kutambulisha viongozi wake. 002mail.google.comMwanaharakati na Mshauri wa chama cha ACT Wazalendo, Mama Terry, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea  na ziara ya kutambulisha viongozi wake.003

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI-ZITTO ZUBERI KABWE(KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) @ACTWazalendo

TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI  LA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE (KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT-WAZALENDO

WEALTH DECLARATION FORMS FOR ZITTO ZUBERI KABWE-PARTY LEADER ACT-WAZALENDO

View this document on Scribd

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tamko la Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014

Tamko la Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014

1) Taarifa nyingine ya CAG imetoka, kwa mujibu wa Katiba ya JMT na kwa mujibu wa sheria za nchi. Taarifa hii imechelewa kutolewa kulingana na mabadiliko ya Ratiba za Bunge ambapo hapo awali taarifa ilikuwa ikitoka mwezi Aprili na kuwezesha kuchangia katika mchakato wa Bajeti ya nchi. Taarifa ya mwaka huu na ile ya mwaka Jana imetoka wakati wa Bunge la Bajeti na hivyo Bajeti ya Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT : MBUNGE ZITTO KABWE AKUTWA NA KESI YA KUJIBU

 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar leo,Jumanne Februari 18,2020 imemkuta na kesi ya kujibu  Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT  WAZALENDO,Mhe. Zitto Kabwe.Kufautia uamuzi huo Mhe.Zitto ataanza kujitetea.

Zitto anakabiliwa na  kesi ya  uchochezi namba 237 ya mwaka 2018.
Taarifa kamili tutawaletea baadae.......

 

10 years ago

Vijimambo

ACT-Wazalendo Mnapata Wapi Pesa za Kuendesha Chama? Zitto Ashindwa Kujibu Je nani Atajibu


Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi? Katika Mkutanao wa Chama hicho Mwanza Zitto Alishindwa Kujibu Swali hilo na Badala yake alisema Kawaulize kina Mzee Mtei Chadema nao Wanapata Wapi Fedha za Kufadhili Mikutano yao...
Wadhamini wa chama ni akinanani.?
Kama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto Kabwe na ACT Wazalendo kupeleka Uzalendo Songea Mjini Aprili 10

11035326_1059029794111858_8123265426011297926_o

Na Andrew Chale wa Modewji  Blog

Chama cha Wazalendo ACT-Tanzania kinatarajia kufanya  mkutano wake Mkoani Ruvuma, Ijumaa ya Aprili 10, katika eneo la Songea Mjini.

Kwa mujibu wa taarifa kupitia kurasa ya twitter ya chama hicho kilieleza kuwa,  viongozi wakuu wa chamaa hicho wanatarajiwa kuwa wazungumzaji wakuu huku Mwanachama  mwenye mvuto kwa vijana ambaye pia ni msanii Afande Sele kutoka Morogoro naye akitarajiwa kuwapo kwenye mkutano huo na  viongozi wa Kitaifa.

5 (25)

Aidha, chama hicho...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam leo mchana. Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya kukabidhiwa.
  Mbunge Chiku Abwao (kulia), akizungumza na wanahabari baada ya kukabidhiwa kadi ya chama cha ACT-Wazalendo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani