ACT-Wazalendo Mnapata Wapi Pesa za Kuendesha Chama? Zitto Ashindwa Kujibu Je nani Atajibu
![](http://2.bp.blogspot.com/-3mwnOZAswEc/VTTeccRRarI/AAAAAAAAsOQ/zaZYkacOuhI/s72-c/act.jpg)
Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi? Katika Mkutanao wa Chama hicho Mwanza Zitto Alishindwa Kujibu Swali hilo na Badala yake alisema Kawaulize kina Mzee Mtei Chadema nao Wanapata Wapi Fedha za Kufadhili Mikutano yao...
Wadhamini wa chama ni akinanani.?
Kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Zitto Kabwe: Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu kiongozi wa ACT-Wazalendo
10 years ago
Michuzi20 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE, AWAHUTUBI WAKAZI WA MJI WA MPANDA
![001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/00111.jpg)
![002](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0027.jpg)
![mail.google.com](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mail.google.com_18.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0033.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA TABORA
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/486.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2119.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/397.jpg)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 Apr
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI-ZITTO ZUBERI KABWE(KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) @ACTWazalendo
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI LA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE (KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT-WAZALENDO
WEALTH DECLARATION FORMS FOR ZITTO ZUBERI KABWE-PARTY LEADER ACT-WAZALENDO
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3530&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB20 May
Tamko la Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014
Tamko la Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014
1) Taarifa nyingine ya CAG imetoka, kwa mujibu wa Katiba ya JMT na kwa mujibu wa sheria za nchi. Taarifa hii imechelewa kutolewa kulingana na mabadiliko ya Ratiba za Bunge ambapo hapo awali taarifa ilikuwa ikitoka mwezi Aprili na kuwezesha kuchangia katika mchakato wa Bajeti ya nchi. Taarifa ya mwaka huu na ile ya mwaka Jana imetoka wakati wa Bunge la Bajeti na hivyo Bajeti ya Serikali...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
9 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Na MatukiodaimaBLogCHAMA cha ACT wazalendo kimezindua kampeni zake za ubunge katika jimbo la Iringa huku mgombea wake ubunge katika jimbo hilo Bi Chiku Abwao akivilalamikia baadhi ya vyombo vya habari nchini kwa kukalia habari zake zinazohusiana na uchafu wa mgombea Urais wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda umoja wa...
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says