Zitto Kabwe na ACT Wazalendo kupeleka Uzalendo Songea Mjini Aprili 10
Na Andrew Chale wa Modewji Blog
Chama cha Wazalendo ACT-Tanzania kinatarajia kufanya mkutano wake Mkoani Ruvuma, Ijumaa ya Aprili 10, katika eneo la Songea Mjini.
Kwa mujibu wa taarifa kupitia kurasa ya twitter ya chama hicho kilieleza kuwa, viongozi wakuu wa chamaa hicho wanatarajiwa kuwa wazungumzaji wakuu huku Mwanachama mwenye mvuto kwa vijana ambaye pia ni msanii Afande Sele kutoka Morogoro naye akitarajiwa kuwapo kwenye mkutano huo na viongozi wa Kitaifa.
Aidha, chama hicho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Zitto Kabwe: Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu kiongozi wa ACT-Wazalendo
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Zitto na ACT Wazalendo ‘waanza harakati za ukombozi Songea wafungua matawi kila kona
Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.
NA MWANDISHI WETU
MJI wa Songea jana ulizizima kwa mapokezi makubwa ya viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.
Zitto, ambaye ameambatana na viongozi wengine wa juu wa ACT akiwemo Mwenyekiti wa ACT Taifa, Anna Mghwira pamoja na Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba.
Viongosi hao walisili jana mjini hapa ambapo walilakiwa na mamia ya wananchi wa...
10 years ago
Michuzi20 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE, AWAHUTUBI WAKAZI WA MJI WA MPANDA
![001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/00111.jpg)
![002](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0027.jpg)
![mail.google.com](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mail.google.com_18.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0033.jpg)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 Apr
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI-ZITTO ZUBERI KABWE(KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) @ACTWazalendo
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI LA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE (KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT-WAZALENDO
WEALTH DECLARATION FORMS FOR ZITTO ZUBERI KABWE-PARTY LEADER ACT-WAZALENDO
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3530&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Michuzi15 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA TABORA
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/486.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2119.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/397.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Zitto Kabwe asema ACT Wazalendo haina hata chembe ya ufisadi, yawataka wananchi kukichagua
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Peoples Club Mjini Singida.
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia ACT, Anna Mghwira.
Mratibu wa ziara za viongozi wa ACT nchini Karama Kaila.
Mwenyekiti wa ACT Mkoa wa Singida.
Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Singida akizungumza kwenye mkutano huo.
Zitto Kabwe akisalimiana na baba mzazi wa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini Mzee Mghwira.
10 years ago
Zitto Kabwe, MB20 May
Tamko la Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014
Tamko la Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2013/2014
1) Taarifa nyingine ya CAG imetoka, kwa mujibu wa Katiba ya JMT na kwa mujibu wa sheria za nchi. Taarifa hii imechelewa kutolewa kulingana na mabadiliko ya Ratiba za Bunge ambapo hapo awali taarifa ilikuwa ikitoka mwezi Aprili na kuwezesha kuchangia katika mchakato wa Bajeti ya nchi. Taarifa ya mwaka huu na ile ya mwaka Jana imetoka wakati wa Bunge la Bajeti na hivyo Bajeti ya Serikali...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10