Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la CHADEMA,Dkt. Slaa kusikilizwa Julai 31
![](http://1.bp.blogspot.com/-tyk0JWEk0oQ/U4dk1xbGpeI/AAAAAAAFmSE/a3tJvpsvxi0/s72-c/gavel.jpg)
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza mapingamizi ya awali ya pande zote mbili katika kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Katibu Mkuu, Willbrod Slaa, Julai 31, mwaka huu.
Mheshimiwa, Jaji John Utamwa alisema kesi ilipangwa jana kwa ajili ya kutajwa na kwamba itasikilizwa mapongamizi ya awali ya pande zote mbili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s72-c/zitto.jpg)
JUST IN: MAHAKAMA KUU imeifutilia mbali kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chadema
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s1600/zitto.jpg)
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifutilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kukubali mapingamizi yaliwasilishwa na chama hicho.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za pande zote mbili kuhusu mapingamizi ya Chadema.
Mapema Saa 3:20 asubuhi Jaji Mziray alisoma uamuzi huo mbele ya wanaodaiwa kuwa wanachama huku upande...
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Kesi ya kina Lipumba kusikilizwa Julai 29
KESI inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30, itasikilizwa siku tatu mfululizo kuanzia Julai 29, mwaka huu.
Kesi hiyo inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Cyprian Mkeha, ambapo itaanza kusikilizwa Julai 29 hadi 31.
Wakili wa Serikali Mkuu Tumaini Kweka, alidai mahakamani hapo jana kwamba, shauri lilipangwa kwa kutajwa na kwamba, lilikwisha kupangiwa tarehe ya kusikilizwa.
Washitakiwa watano katika kesi hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oMBl1KBI0gM/VcBSk6zwmRI/AAAAAAABTFs/UQWmCq2EEUw/s72-c/Freeman%2BMbowe.jpg)
BARAZA KUU LA CHADEMA LARIDHIA DKT SLAA KUPUMZIKA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMBl1KBI0gM/VcBSk6zwmRI/AAAAAAABTFs/UQWmCq2EEUw/s640/Freeman%2BMbowe.jpg)
Hatimaye baraza kuu la Chadema limeridhia kusimama kwa muda kufanya kazi za chama aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrEddD09xEY/VcBUUgoAScI/AAAAAAABTGA/FxG4C_fwA3E/s640/11807718_386209084905029_1739074126667563142_o.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kesi ya Zitto dhidi ya Chadema kutajwa leo Mahakama Kuu Dar
11 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA MAHAKAMA KUU WAKATI WA KUSIKILIZWA PINGAMIZI LA ZITTO KABWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJWsq-yWg5U10eetpUsUCOe9t2j-Mhg7vtYEwCGj2Khr3NAsk6DUcCxzlUYHbF6aiabluYxf6yv9WarCAdvWhz*/zkwasanii2.jpg?width=750)
ZITTO KABWE: TUHUMA DHIDI YANGU ZICHUNGUZWE
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Mar
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja alisema kuwa ni kawaida wabunge kupewa misaada na wafanyabiashara na taasisi za umma. Katika Maelezo yake alirudia tuhuma za kipuuzi dhidi yangu zilizokwisha tolewa huko nyuma kwamba
1) nilipewa fedha na kampuni ya PAP na
2) nilipewa fedha na shirika la NSSF.
Nashambuliwa, tunashambuliwa!...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
ZITTO KABWE AHUKUMIWA LEO DHIDI YA MASHTAKA MATATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
Zitto amehukumiwa leo mahakamani hapo baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka matatu yaliyokuwa yanamkabili.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 29, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi 15 wa upande wa mashtaka na kuzingatia utetezi wa Zitto...