Mkenya ashinda mbio za Frankfurt
Mark Kiptoo ameimarisha ushindi wake katika mashindano ya mbio za Frankfurt mwaka huu baada ya kuibuka mshindi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Mkenya ashinda tuzo ya Cane
Mkenya Okwiri Oduor ndiye mshindi wa tuzo la Caine - inayotolewa kwa waandishi maarufu zaidi wa Kiafrika.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkenya ashinda tuzo la Goldman
Phyllis Omido kutoka Kenya ni miongoni mwa washindi sita waliokabidhiwa tuzo la Goldman huko Marekani, Jumatatu usiku.
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2013/09/29/130929122846_kenyan_berlin_marathon_512x288_d_nocredit.jpg)
Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mkenya ashinda Tuzo ya CNN Afrika
Mpigapicha wa shambulio la kigaidi katika jengo la Westgate nchini Kenya, Joseph Mathenge ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za waandishi wa habari za Afrika za CNN Multichoice, huku historia ya picha zake ikiibua simanzi na vigelegele vya ushindi.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi
Mahakama imemruhusu kubadilisha majina katika vyeti vyake vya mitihani ya elimu ya juu kutoka Andrew na kuwa Audrey.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Dada Dj mkenya ashinda tuzo la Nollywood
Mwanadada Dj kutoka nchini Kenya, Pierra Makena ametunikiwa tuzo kwa kushiriki katika filamu moja ya kinigeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-boczHD4*NExK*JZrmFozx1eVjX3tpJ6FglFjY-6OSo27GRQY-a3J1pfoj6pBaKAvu6CXfGxhI48538IYPSKGq/farah.jpg)
MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON
Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Ngadu ashinda mbio za pikipiki
Mwendesha pikipiki za michezo wa klabu ya Ruaha Motor Cycle Wilaya ya Kilosa, Mengi Ngadu ameibuka mshindi wa kwanza wa bonanza la Endula la mashindano ya pikipiki la kuukaribisha Mwaka Mpya 2014 na kuuaga mwaka 2013 lililofanyika Uwanja wa Sabasaba Manispaa ya Morogoro.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mmarekani Meritrea ashinda mbio Boston
Mmarekani mweusi, Meb Keflezighi, mzaliwa wa Eritrea ndiye mshindi wa mbio za nyika za Boston Marekani mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania