Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya ashinda mbio za Frankfurt

Mark Kiptoo ameimarisha ushindi wake katika mashindano ya mbio za Frankfurt mwaka huu baada ya kuibuka mshindi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mkenya ashinda tuzo ya Cane

Mkenya Okwiri Oduor ndiye mshindi wa tuzo la Caine - inayotolewa kwa waandishi maarufu zaidi wa Kiafrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya ashinda tuzo la Goldman

Phyllis Omido kutoka Kenya ni miongoni mwa washindi sita waliokabidhiwa tuzo la Goldman huko Marekani, Jumatatu usiku.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio



Mwanariadha Wilson Kipsang ashinda mbio za Berlin Marathon mwaka uliopitaMwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon zilizondaliwa mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 alishinda mbio hizo kwa muda wa saa mbili,dakika na sekunde 57 ambapo aliivunja rekodi ya awali kwa sekunde sita

Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkenya ashinda Tuzo ya CNN Afrika

Mpigapicha wa shambulio la kigaidi katika jengo la Westgate nchini Kenya, Joseph Mathenge ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za waandishi wa habari za Afrika za CNN Multichoice, huku historia ya picha zake ikiibua simanzi na vigelegele vya ushindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi

Mahakama imemruhusu kubadilisha majina katika vyeti vyake vya mitihani ya elimu ya juu kutoka Andrew na kuwa Audrey.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dada Dj mkenya ashinda tuzo la Nollywood

Mwanadada Dj kutoka nchini Kenya, Pierra Makena ametunikiwa tuzo kwa kushiriki katika filamu moja ya kinigeria

 

11 years ago

GPL

MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON

Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…

 

11 years ago

Mwananchi

Ngadu ashinda mbio za pikipiki

Mwendesha pikipiki za michezo wa klabu ya Ruaha Motor Cycle Wilaya ya Kilosa, Mengi Ngadu ameibuka mshindi wa kwanza wa bonanza la Endula la mashindano ya pikipiki la kuukaribisha Mwaka Mpya 2014 na kuuaga mwaka 2013 lililofanyika Uwanja wa Sabasaba Manispaa ya Morogoro.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mmarekani Meritrea ashinda mbio Boston

Mmarekani mweusi, Meb Keflezighi, mzaliwa wa Eritrea ndiye mshindi wa mbio za nyika za Boston Marekani mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani