Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Mengi aingia fainali tuzo ya mfanyabiashara bora Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi ni miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA), kundi la Afrika Mashariki....
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Heather Watson atinga fainali
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Murry atinga fainali Australian Open
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Heather Watson atinga nusu fainali
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Murray atinga robo fainali Mexico
9 years ago
Mtanzania16 Oct
atinga robo fainali Shanghai Masters
SHANGHAI, CHINA
NYOTA wa tenesi, Andy Murray, ametoka nyuma kwa seti moja na kumchapa John Isner na kutinga robo fainali ya michuano ya Shanghai Masters.
Mwingereza huyo namba mbili kwa ubora duniani, 28, alionyesha uimara mbele ya uso wa Isner na kushinda kwa seti 6-7 (4-7) 6-4 6-4.
Ilimchukua saa 2.30 Murray kuweza kumaliza pambano hilo na sasa atakutana na Tomas Berdvch au Gilles Simon kwenye robo fainali, itakayofanyika leo.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Murray atinga nusu fainali Wimbledon
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Andy Murray atinga robo fainali