Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika

MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi aingia fainali tuzo ya mfanyabiashara bora Afrika

MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi ni miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA), kundi la Afrika Mashariki....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika

MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...

 

10 years ago

BBCSwahili

Heather Watson atinga fainali

Mcheza tenesi Heather Watson amefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michezo kimataifa ya Hobart.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murry atinga fainali Australian Open

Mwingereza Andy Murry ameshaingia hatua ya fainali baada ya kufunga mpinzani wake Thomas Berdych katika hatua ya nusu fainali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Heather Watson atinga nusu fainali

Mcheza tenesi namba moja wa Uingereza Heather Watson amefanikiwa kutinga nusu fainali

 

11 years ago

BBCSwahili

Murray atinga robo fainali Mexico

Andy Murray amefuzu kucheza hatua ya robo fainali ya michuano ya wazi ya Mexico

 

9 years ago

Mtanzania

atinga robo fainali Shanghai Masters

Andy_Murray_2590815bSHANGHAI, CHINA

NYOTA wa tenesi, Andy Murray, ametoka nyuma kwa seti moja na kumchapa John Isner na kutinga robo fainali ya michuano ya Shanghai Masters.

Mwingereza huyo namba mbili kwa ubora duniani, 28, alionyesha uimara mbele ya uso wa Isner na kushinda kwa seti 6-7 (4-7) 6-4 6-4.

Ilimchukua saa 2.30 Murray kuweza kumaliza pambano hilo na sasa atakutana na Tomas Berdvch au Gilles Simon kwenye robo fainali, itakayofanyika leo.

 

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray atinga nusu fainali Wimbledon

Muingereza Andy Murray ameingia nusu fainali yake ya sita kwenye michuano ya Wimbledon katika kipindi cha miaka saba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murray atinga robo fainali

Mcheza tenis wa Uingereza Andy Murray ametinga hatua ya robo fainali ya mashindano ya French Open

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani