Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Heather Watson atinga nusu fainali

Mcheza tenesi namba moja wa Uingereza Heather Watson amefanikiwa kutinga nusu fainali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Heather Watson atinga fainali

Mcheza tenesi Heather Watson amefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michezo kimataifa ya Hobart.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray atinga nusu fainali Wimbledon

Muingereza Andy Murray ameingia nusu fainali yake ya sita kwenye michuano ya Wimbledon katika kipindi cha miaka saba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray atinga nusu fainali Miami Open

Mcheza tenisi mashuhuri duniani Andy Murray wa Uingereza ametinga nusu fainali michuano ya Miami Open

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

11 years ago

BBCSwahili

Murray atinga robo fainali Mexico

Andy Murray amefuzu kucheza hatua ya robo fainali ya michuano ya wazi ya Mexico

 

10 years ago

Habarileo

Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika

MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Mtanzania

atinga robo fainali Shanghai Masters

Andy_Murray_2590815bSHANGHAI, CHINA

NYOTA wa tenesi, Andy Murray, ametoka nyuma kwa seti moja na kumchapa John Isner na kutinga robo fainali ya michuano ya Shanghai Masters.

Mwingereza huyo namba mbili kwa ubora duniani, 28, alionyesha uimara mbele ya uso wa Isner na kushinda kwa seti 6-7 (4-7) 6-4 6-4.

Ilimchukua saa 2.30 Murray kuweza kumaliza pambano hilo na sasa atakutana na Tomas Berdvch au Gilles Simon kwenye robo fainali, itakayofanyika leo.

 

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murray atinga robo fainali

Mcheza tenis wa Uingereza Andy Murray ametinga hatua ya robo fainali ya mashindano ya French Open

 

10 years ago

BBCSwahili

Murry atinga fainali Australian Open

Mwingereza Andy Murry ameshaingia hatua ya fainali baada ya kufunga mpinzani wake Thomas Berdych katika hatua ya nusu fainali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani