Heather Watson atinga nusu fainali
Mcheza tenesi namba moja wa Uingereza Heather Watson amefanikiwa kutinga nusu fainali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Heather Watson atinga fainali
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Murray atinga nusu fainali Wimbledon
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Murray atinga nusu fainali Miami Open
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Murray atinga robo fainali Mexico
10 years ago
Habarileo16 Sep
Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.
9 years ago
Mtanzania16 Oct
atinga robo fainali Shanghai Masters
SHANGHAI, CHINA
NYOTA wa tenesi, Andy Murray, ametoka nyuma kwa seti moja na kumchapa John Isner na kutinga robo fainali ya michuano ya Shanghai Masters.
Mwingereza huyo namba mbili kwa ubora duniani, 28, alionyesha uimara mbele ya uso wa Isner na kushinda kwa seti 6-7 (4-7) 6-4 6-4.
Ilimchukua saa 2.30 Murray kuweza kumaliza pambano hilo na sasa atakutana na Tomas Berdvch au Gilles Simon kwenye robo fainali, itakayofanyika leo.
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Andy Murray atinga robo fainali
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Murry atinga fainali Australian Open