Rais Namibia apata Tuzo ya Mo Ibrahim
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS anayemaliza muda wake nchini Namibia, Hifikepunye Pohamba, ameshinda tuzo ya Mo Ibrahim inayotolewa kwa kiongozi wa Afrika aliyeonyesha uongozi bora.
Tuzo hiyo yenye thamani ya dola za Marekani milioni tano (sawa na Sh bilioni 9.2 za Tanzania) ni kubwa zaidi duniani kutolewa kwa mtu mmoja mmoja.
Fedha hizo hutolewa kila mwaka kwa kiongozi wa kuchaguliwa aliyetawala vizuri kwa kuinua viwango vya maisha ya raia wake na kisha kuondoka madarakani kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Pohamba:ashinda tuzo ya 2014 ya Mo Ibrahim
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Rais Ibrahim Boubacar Keïta: Maelfu ya waandamanaji watoa wito kwa rais wa Mali kujiuzulu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Rais Kikwete ampongeza Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hague Geingob
![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tvA5P1HEqOo/VQ2pWczQhKI/AAAAAAAHL_4/MtmX5YVGqVQ/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7DLKujc0Vsw/U10lDcQPYnI/AAAAAAAAios/6tbkQ56PWKA/s72-c/s+(1).jpg)
RAIS KIKWETE AONANA NA RAIS MSTAAFU WA NAMIBIA MHE. SAM NUJOMA,IKULU JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-7DLKujc0Vsw/U10lDcQPYnI/AAAAAAAAios/6tbkQ56PWKA/s1600/s+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b5fM11El7Qc/U10lCW4WjTI/AAAAAAAAiok/UFDuWNbptXo/s1600/s+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sRLNqleh0o0/U10lEFVnTlI/AAAAAAAAiow/QkgjxtJo6Y0/s1600/s+(3).jpg)
10 years ago
Habarileo11 Oct
Malala apata Tuzo ya Nobel
RAIA wa Pakistan, Malala Yousafzai na wa India, Kailash Satyarthi kwa pamoja leo wametunukiwa Tuzo ya Nishani ya Amani ya Nobel kwa juhudi zao za kupambana na ukandamizaji wa vijana na kutetea haki ya watoto kusoma.
9 years ago
Michuzi29 Nov
MO APATA TUZO NYINGINE AFRIKA YA KUSINI
![DSC_4663](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_4663.jpg)
11 years ago
Habarileo29 May
Mwandishi HabariLeo apata tuzo ya TANAPA
MWANDISHI wa HabariLeo, Iringa, Frank Leonard ametwaa tuzo ya kuandika vizuri habari za utalii wa ndani. Frank amekuwa mshindi wa pili kwa upande wa magazeti.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mengi apata tuzo ya mafaniko Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, amepata Tuzo ya Mafanikio ya Kutukuka Maishani (AABLA). Tuzo hiyo alikabidhiwa mwishoni mwa wiki katika fainali za CNBC All Africa Business...