Mwandishi HabariLeo apata tuzo ya TANAPA
MWANDISHI wa HabariLeo, Iringa, Frank Leonard ametwaa tuzo ya kuandika vizuri habari za utalii wa ndani. Frank amekuwa mshindi wa pili kwa upande wa magazeti.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jul
Mwandishi wa HabariLeo aibuka kidedea tuzo za Tanapa
MWANDISHI wa gazeti la HabariLeo mkoani Iringa, Frank Leonard ameshinda tuzo ya umahiri wa uandishi wa habari baada ya kuibuka mshindi wa kwanza (magazeti) katika kuandika habari za utalii wa ndani,tuzo ambayo ilitolewa na Hifadhi za Taifa (TANAPA).
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mamia wamzika mwandishi wa Habarileo
ALIYEKUWA mwandishi wa gazeti hili mkoani Manyara, Fortunata Ringo (29) ambaye alifariki dunia mwishoni mwa wiki alizikwa jana kijijini kwao Mdawi Kata ya Kimochi wilaya ya Moshi Vijijini.
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mamia wamuaga mwandishi wa HabariLeo
VILIO, majonzi na simanzi vilitawala jana katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kibangu, Dar es Salaam wakati mamia ya waombolezaji walipoaga mwili wa mwandishi wa Gazeti la HabariLeo, mkoani Manyara, Fortunatha Wilfred Ringo (29).
11 years ago
Habarileo12 Jan
Mwandishi habari HabariLeo Manyara kuagwa leo
MWANDISHI wa Kujitegemea aliyekuwa akiandikia gazeti la HabariLeo kutokea Manyara Fortunatha Ringo ambaye alifariki dunia juzi anatarajiwa kuagwa leo katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Ubungo Kibangu.
10 years ago
Michuzi18 Dec
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Washindi wa tuzo za TANAPA 2014 wakabidhiwa tuzo Jjjini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cr6RjyM0NB8/VZJQ3tHnc3I/AAAAAAAARp0/x2PH5GeV1XA/s640/E86A2087%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pge2fJ0W0pE/VZJQrdqzP_I/AAAAAAAARpE/a6qAcNozTEQ/s640/E86A2066%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IElWK-utqhA/VZJQ4o2us3I/AAAAAAAARps/73wuhElI80U/s640/E86A2081%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QWiWnFlzsaU/VZJR9y7SILI/AAAAAAAARsk/38DNBqc69RI/s640/E86A2231%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4J8JSHOr89o/VZJQvvfBUXI/AAAAAAAARpU/kmztEwCPbI8/s640/E86A2069%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pNR3n7udlhk/VZJQrbz4FiI/AAAAAAAARpA/_sGDM7DaKP4/s640/E86A2068%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ui6VPrRZkx8/VZJRDyGzJGI/AAAAAAAARqQ/IUQPClk93Bc/s640/E86A2112%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cr6RjyM0NB8/VZJQ3tHnc3I/AAAAAAAARp0/x2PH5GeV1XA/s72-c/E86A2087%2B%25281280x853%2529.jpg)
WASHINDI WA TUZO ZA TANAPA 2014 WAKABIDHIWA TUZO JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cr6RjyM0NB8/VZJQ3tHnc3I/AAAAAAAARp0/x2PH5GeV1XA/s640/E86A2087%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QWiWnFlzsaU/VZJR9y7SILI/AAAAAAAARsk/38DNBqc69RI/s640/E86A2231%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjXPtPxvzJs/VZJRyZwW0pI/AAAAAAAARsE/ohvodX59rIM/s640/E86A2208%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo11 Oct
Tanapa yajitosa Tuzo za Taswa
MAMLAKA ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) ni miongoni mwa wadhamini wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete zinazotarajiwa kufanyika keshokutwa kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.