JK ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA KIMATAIFA, NI YA KUWA NYOTA WA DEMOKRASIA AFRIKA
![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb9nPGbjmZ*b-i3fojL*rmvv0Vsp*T06zX-jcNsEjzxvLdH2r4BklDvYZWe8Nua0LB2kaDLj47tJNkMjrGEvzhIM/JK.jpg?width=650)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa tuzo la kimataifa – zamu hii kwa kuwa mshindi waTuzo la Nyota wa Demokrasia Afrika 2014 – Icon of Democracy Award Winner for 2014 in Africa. Kwa mujibu wa barua aliyoandikiwa Rais Kikwete na kupokelewa Ikulu, Dar Es Salaam, Rais...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMS1cC-CT3w/U9kYgJ9bIzI/AAAAAAAF75Y/NWtnMdkYdkM/s72-c/download.jpg)
JK atunukiwa Tuzo jingine la kimataifa, safari hii ni la kuwa Nyota wa Demokrasia Afrika
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMS1cC-CT3w/U9kYgJ9bIzI/AAAAAAAF75Y/NWtnMdkYdkM/s1600/download.jpg)
11 years ago
Habarileo31 Jul
JK atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa
RAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
11 years ago
Habarileo31 Jul
Rais Kikwete atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa
RAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
9 years ago
VijimamboJK AAGANA NA WAFANYAKAZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA, ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA UONGOZI WENYEMAFANIKIO, IJULIKANAYO KAMA "AFRICA ACHIEVING'S AWARD"
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Rais Kikwete atunukiwa tuzo ya demokrasia
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo ya kimataifa ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu jana, Rais Kikwete aliandikiwa barua ya kuwa mshindi wa kwanza katika mchuano huo uliohusisha marais watatu wa Afrika ambao waliingia katika tatu bora.
“Katika barua hiyo, Mchapishaji na Mhariri Mkuu wa Jarida hilo, Pastor Elvis Iruh, akizungumza kwa niaba ya Kamati ya Tuzo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UimU0sKvhys/VAWUqjQG8_I/AAAAAAAGbJs/EZyiycD3oLs/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MKURUGENZI MAMBO YA KALE ATUNUKIWA TUZO YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UimU0sKvhys/VAWUqjQG8_I/AAAAAAAGbJs/EZyiycD3oLs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Mkurugenzi wa Mambo ya Kale katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Donatius M.K. Kamamba (pichani) ametunukiwa tuzo ya kimataifa ya “The knight Cross in the Order of Arts and Letters” na Serikali ya Ufaransa.
Hatua hiyo imetokana na mchango mkubwa alioutoa Bw. Kamamba katika kulinda na kuendeleza Urithi wa Utamaduni hapa nchini na duniani kwa ujumla katika kipindi cha miaka 33 aliyoitumikia sekta ya malikale ndani na nje ya nchi.
Katika barua aliyoandikiwa Mkurugenzi huyo na...
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika