MKURUGENZI MAMBO YA KALE ATUNUKIWA TUZO YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UimU0sKvhys/VAWUqjQG8_I/AAAAAAAGbJs/EZyiycD3oLs/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Mkurugenzi wa Mambo ya Kale katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Donatius M.K. Kamamba (pichani) ametunukiwa tuzo ya kimataifa ya “The knight Cross in the Order of Arts and Letters” na Serikali ya Ufaransa.
Hatua hiyo imetokana na mchango mkubwa alioutoa Bw. Kamamba katika kulinda na kuendeleza Urithi wa Utamaduni hapa nchini na duniani kwa ujumla katika kipindi cha miaka 33 aliyoitumikia sekta ya malikale ndani na nje ya nchi.
Katika barua aliyoandikiwa Mkurugenzi huyo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-WnbasoaHsbA/VAW5og_eTkI/AAAAAAAABlY/aDDpMybvagA/s72-c/kamamba.jpg)
Mkurugenzi mambo ya kale apewa tunzo
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Mambo ya Kale katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Donatius Kamamba ametunukiwa tunzo ya kimataifa ya ‘The knight Cross in the Order of Arts and Letters’ na serikali ya Ufaransa.
Tunzo hiyo imetokana na mchango mkubwa alioutoa katika kulinda na kuendeleza urithi wa utamaduni nchini na duniani kwa ujumla katika kipindi cha miaka 33 aliyoitumikia sekta ya malikale ndani na nje ya nchi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-WnbasoaHsbA/VAW5og_eTkI/AAAAAAAABlY/aDDpMybvagA/s1600/kamamba.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mkoa wa Mbeya waiomba idara ya mambo ya kale kuwakabidhi makumbusho ya mambo ya kale ya KIMONDO
11 years ago
Habarileo31 Jul
JK atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa
RAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Mkurugenzi wa TAMWA atunukiwa tuzo ya CEFM CHAMPION
Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mh. Alexandre Lévêque akimkabidhi tuzo ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania-TAMWA,Bi. Valerie Msoka kwa kufanikisha kampeni dhidi ya ndoa za utotoni.(Picha zote kwa hisani ya mtandao wa hivisasa.co.tz).
Na modewjiblog team
Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) Valerie Msoka, amekuwa mtu wa kwanza kutunukiwa tuzo ya CEFM Champion, na Ubalozi wa Canada nchini.
Katika sherehe fupi iliyofanyika Serena...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_01311-1024x681-1.jpg)
MKURUGENZI WA TAMWA ATUNUKIWA TUZO YA CEFM CHAMPION
10 years ago
MichuziMKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA MAMBO YA NJE AAGANA NA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UNDP NCHINI
11 years ago
Habarileo31 Jul
Rais Kikwete atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa
RAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb9nPGbjmZ*b-i3fojL*rmvv0Vsp*T06zX-jcNsEjzxvLdH2r4BklDvYZWe8Nua0LB2kaDLj47tJNkMjrGEvzhIM/JK.jpg?width=650)
JK ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA KIMATAIFA, NI YA KUWA NYOTA WA DEMOKRASIA AFRIKA