Mkurugenzi wa TAMWA atunukiwa tuzo ya CEFM CHAMPION
Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mh. Alexandre Lévêque akimkabidhi tuzo ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania-TAMWA,Bi. Valerie Msoka kwa kufanikisha kampeni dhidi ya ndoa za utotoni.(Picha zote kwa hisani ya mtandao wa hivisasa.co.tz).
Na modewjiblog team
Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) Valerie Msoka, amekuwa mtu wa kwanza kutunukiwa tuzo ya CEFM Champion, na Ubalozi wa Canada nchini.
Katika sherehe fupi iliyofanyika Serena...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_01311-1024x681-1.jpg)
MKURUGENZI WA TAMWA ATUNUKIWA TUZO YA CEFM CHAMPION
10 years ago
AllAfrica.Com24 Feb
TAMWA Chief for CEFM Award On Tuesday
AllAfrica.com
TANZANIA Media Women's Association (TAMWA) Executive Director Valerie Msoka is to receive the first Champion of Early and Forced Marriage (CEFM) in Tanzania Award by the Canadian High Commission in Dar es Salaam. The High Commission said in ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UimU0sKvhys/VAWUqjQG8_I/AAAAAAAGbJs/EZyiycD3oLs/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MKURUGENZI MAMBO YA KALE ATUNUKIWA TUZO YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UimU0sKvhys/VAWUqjQG8_I/AAAAAAAGbJs/EZyiycD3oLs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Mkurugenzi wa Mambo ya Kale katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Donatius M.K. Kamamba (pichani) ametunukiwa tuzo ya kimataifa ya “The knight Cross in the Order of Arts and Letters” na Serikali ya Ufaransa.
Hatua hiyo imetokana na mchango mkubwa alioutoa Bw. Kamamba katika kulinda na kuendeleza Urithi wa Utamaduni hapa nchini na duniani kwa ujumla katika kipindi cha miaka 33 aliyoitumikia sekta ya malikale ndani na nje ya nchi.
Katika barua aliyoandikiwa Mkurugenzi huyo na...
10 years ago
CloudsFM18 Mar
Rapper Fid Q apewa tuzo ya `CHAMPION na umoja wa Nchi za Ulaya EU
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc5RfIyS9vraTNg9XAGpZDGL12DYG2gYHQ3-oMt6bFwhifmKz6laKD*uERc2DO-nb4PBWV8VUY161nttMXNMWbNx/FidQ2.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Dec
DC atunukiwa tuzo ya uongozi
VIONGOZI wa madhehebu ya dini ya Kikristo na Kiislamu mkoani Mbeya wamemtunuku Tuzo ya uongozi bora Mkuu wa wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.
11 years ago
Habarileo31 Jul
JK atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa
RAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Mtanzania atunukiwa tuzo ya ujasiriamali
11 years ago
Habarileo04 Apr
Mama Salma atunukiwa tuzo
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amepewa cheti na Umoja wa Wake wa Mabalozi wa Afrika waishio katika nchi za Umoja wa Ulaya kwa kutambua na kuthamini mchango wake na kazi, anazozifanya za kusaidia wanawake, wasichana na watoto wa Tanzania.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkapa atunukiwa tuzo ya mafanikio