Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper Fid Q apewa tuzo ya `CHAMPION na umoja wa Nchi za Ulaya EU

Umoja wa nchi za ulaya EU wampa tuzo Fareed Kubanda a.k.a Fid Q ya CHAMPION of the 2015 Europe Year for Development in Tanzania ,Pia Fid Q alifunguka kwenye Amplifaya ya Cloudsfm nakusema amefarijika sana kupata Tuzo hiyo kwani itampa hamasa ya kufanya kazi kwa bidii zaidiPia Fid Q alisema amepata Tuzo hiyo kutokana na kujitolea kusaidia vijana katika jamii ili waache miadarati na japo kuwa darasa kwa sasa limefungwa ila anampango wa kulifungua tena upya darasa hilo

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Fid Q apewa tuzo na umoja wa nchi za ulaya EU, ‘CHAMPION of the 2015 European year for development in Tanzania’

Umoja wa nchi za ulaya EU wamempa rapper Fareed “Fid Q” Kubanda tuzo ya ‘CHAMPION of the 2015 European year for development in Tanzania’ kutokana na mchango wake katika jamii. “Tarehe hii ya leo ambayo ni 17 machi ikiwa siku ya Jumanne […] nina furaha sana kwasababu ni siku ambayo nimepewa tuzo…tuzo hii inaitwa ya […]

 

10 years ago

Dewji Blog

FID Q Kinara wa tuzo ya maendeleo ya Umoja wa Ulaya

1660440_10152691085461641_121417824891132961_n

Mwanamuziki  nguli wa Hip Hop, nchini kutoka Mwanza, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ (kulia) akipozi na Balozi wa Umoja wa Ulaya pamoja na baadhi ya washindi wenzake wakati wa hafla hiyo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii mwanamuziki  nguli wa Hip Hop, nchini kutoka Mwanza, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ Amepongeza kwa kutunukiwa tuzo ya maendeleo 2015 inayotolewa na Umoja wa Nchi za Ulaya .

Fid Q alieleza kuwa, kutunukiwa huko ni baada ya mchango wake kuonekana  ikiwemo ...

 

10 years ago

Bongo5

Ifahamu tuzo ya Umoja wa Ulaya aliyopewa Fid Q

Fareed Kubanda amepewa heshima kubwa na EU. Rapper huyo jana alitunikiwa tuzo iitwayo ‘Champion of the 2015 European year for development in Tanzania’ kutoka kwa umoja wa nchi za Ulaya kutokana na mchango wake katika jamii kupitia mambo tofauti anayoyafanya kupitia muziki wake. Fid ameiambia Bongo5 kuwa tuzo hiyo ni kama endorsement ambayo ameahidiwa na […]

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani, Umoja wa Ulaya (EU), Angola na Kuwait nchini, na kuwahakikishia kuwa Tanzania ipo salama, na pia katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu utakuwa wa huru na haki.
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR, AAGANA NA BALOZI WA MALAWI TANZANIA.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Sept 30, 2015 kwa ajili ya kumuaga rasmi akienda kuanza kazi nchini Malawi. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya, Judith Sergentine (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Nchi...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIAN RAPPER FID Q ALBUM LISTENING PARTY AT NAIROBI RAPSODY - THUR JUNE 4TH

After a successful event with Brooklyn, NY hip hop artist Yasiin Bey (Mosdef) in his first East African showcase, Nairobi Rapsody is back this Thursday (4th June) with Tanzania’s hip hop wordsmith - FID Q.

Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4th June) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...

 

10 years ago

Michuzi

EXCLUSIVE: TANZANIAN RAPPER FID Q ALBUM LISTENING PARTY AT NAIROBI RAPSODY - THUR JUNE 4TH

After a successful event with Brooklyn, NY hip hop artist Yasiin Bey (Mosdef) in his first East African showcase, Nairobi Rapsody is back this Thursday (4th June) with Tanzania’s hip hop wordsmith -  FID Q.

Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4thJune) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi wa TAMWA atunukiwa tuzo ya CEFM CHAMPION

DSC_01311-1024x681 (1)

Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mh. Alexandre Lévêque akimkabidhi tuzo ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania-TAMWA,Bi. Valerie Msoka kwa kufanikisha kampeni dhidi ya ndoa za utotoni.(Picha zote kwa hisani ya mtandao wa hivisasa.co.tz).

Na modewjiblog team

Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) Valerie Msoka, amekuwa mtu wa kwanza kutunukiwa tuzo ya CEFM Champion, na Ubalozi wa Canada nchini.

Katika sherehe fupi iliyofanyika Serena...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani