Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fid Q apewa tuzo na umoja wa nchi za ulaya EU, ‘CHAMPION of the 2015 European year for development in Tanzania’

Umoja wa nchi za ulaya EU wamempa rapper Fareed “Fid Q” Kubanda tuzo ya ‘CHAMPION of the 2015 European year for development in Tanzania’ kutokana na mchango wake katika jamii. “Tarehe hii ya leo ambayo ni 17 machi ikiwa siku ya Jumanne […] nina furaha sana kwasababu ni siku ambayo nimepewa tuzo…tuzo hii inaitwa ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Rapper Fid Q apewa tuzo ya `CHAMPION na umoja wa Nchi za Ulaya EU

Umoja wa nchi za ulaya EU wampa tuzo Fareed Kubanda a.k.a Fid Q ya CHAMPION of the 2015 Europe Year for Development in Tanzania ,Pia Fid Q alifunguka kwenye Amplifaya ya Cloudsfm nakusema amefarijika sana kupata Tuzo hiyo kwani itampa hamasa ya kufanya kazi kwa bidii zaidiPia Fid Q alisema amepata Tuzo hiyo kutokana na kujitolea kusaidia vijana katika jamii ili waache miadarati na japo kuwa darasa kwa sasa limefungwa ila anampango wa kulifungua tena upya darasa hilo

 

10 years ago

Dewji Blog

FID Q Kinara wa tuzo ya maendeleo ya Umoja wa Ulaya

1660440_10152691085461641_121417824891132961_n

Mwanamuziki  nguli wa Hip Hop, nchini kutoka Mwanza, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ (kulia) akipozi na Balozi wa Umoja wa Ulaya pamoja na baadhi ya washindi wenzake wakati wa hafla hiyo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii mwanamuziki  nguli wa Hip Hop, nchini kutoka Mwanza, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ Amepongeza kwa kutunukiwa tuzo ya maendeleo 2015 inayotolewa na Umoja wa Nchi za Ulaya .

Fid Q alieleza kuwa, kutunukiwa huko ni baada ya mchango wake kuonekana  ikiwemo ...

 

10 years ago

Bongo5

Ifahamu tuzo ya Umoja wa Ulaya aliyopewa Fid Q

Fareed Kubanda amepewa heshima kubwa na EU. Rapper huyo jana alitunikiwa tuzo iitwayo ‘Champion of the 2015 European year for development in Tanzania’ kutoka kwa umoja wa nchi za Ulaya kutokana na mchango wake katika jamii kupitia mambo tofauti anayoyafanya kupitia muziki wake. Fid ameiambia Bongo5 kuwa tuzo hiyo ni kama endorsement ambayo ameahidiwa na […]

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR, AAGANA NA BALOZI WA MALAWI TANZANIA.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Sept 30, 2015 kwa ajili ya kumuaga rasmi akienda kuanza kazi nchini Malawi. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya, Judith Sergentine (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Nchi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yang’ara Kimataifa,Asasi yake yatwaa tuzo ya Ikweta 2015 zinazotolewa na Umoja wa Mataifa-UN

UNMBi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo  wa Umoja wa Mataifa ( UNDP)  akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa  NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa  mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na  kupiga vita umaskini.Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni  dola  za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo  NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...

 

10 years ago

GPL

FID -Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUCHAGUA VIONGOZI WA NCHI 2015

Msanii wa Hip hop, Farid Kubanda 'Fid Q' akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari juu ya kampeni yake aliyozindua maalumu kwa kuwahamasisha vijana wa Tanzania kushiriki kikamilifu kwenye mchakato wa kuchagua viongozi wa nchi mwaka 2015, huku akiwataka kuachana na kulalamikia viongozi wanaokuwepo madarakani wakati muda wa kupiga kula ukifika wao hawashiriki kikamilifu. Fid -Q (katikati) akiwa na… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete apewa tuzo ya kimataifa ya mwaka 2015 ya Kiongozi bora Mwanamke

unnamed-51

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akipokea TUZO maalum ya “ CWL International Women of Excellency Award for Leadership” kutoka kwa Profesa Joseph Adaikalam, Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Chuo Kukuu cha Binary kilichoko nchini Malaysia kwa kutambua na kuthamini mchango wake katika maendeleo ya wanawake nchini Tanzania na Afrika tarehe 24.7.2015. Aliyesimama (kushoto) ni Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Mlima, akifuatiwa na Profesa Bulochana Nair na Kulia ni...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI

Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), pamoja na Balozi Walter Stevens (Kulia), Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa na Usalama ya Umoja wa Ulaya (EU) wakiwa katika mkutano huo. Kushoto ni Balozi Smail Chergui, Kamishna wa Amani na Usalama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Katika Mkutano huo, pamoja na mambo mengine, vyombo hivyo viwili vilikubaliana kuendeleza ushirikiana zaidi katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa migogoro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani