Ifahamu tuzo ya Umoja wa Ulaya aliyopewa Fid Q
Fareed Kubanda amepewa heshima kubwa na EU. Rapper huyo jana alitunikiwa tuzo iitwayo ‘Champion of the 2015 European year for development in Tanzania’ kutoka kwa umoja wa nchi za Ulaya kutokana na mchango wake katika jamii kupitia mambo tofauti anayoyafanya kupitia muziki wake. Fid ameiambia Bongo5 kuwa tuzo hiyo ni kama endorsement ambayo ameahidiwa na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
FID Q Kinara wa tuzo ya maendeleo ya Umoja wa Ulaya
Mwanamuziki nguli wa Hip Hop, nchini kutoka Mwanza, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ (kulia) akipozi na Balozi wa Umoja wa Ulaya pamoja na baadhi ya washindi wenzake wakati wa hafla hiyo.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii mwanamuziki nguli wa Hip Hop, nchini kutoka Mwanza, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ Amepongeza kwa kutunukiwa tuzo ya maendeleo 2015 inayotolewa na Umoja wa Nchi za Ulaya .
Fid Q alieleza kuwa, kutunukiwa huko ni baada ya mchango wake kuonekana ikiwemo ...
10 years ago
CloudsFM18 Mar
Rapper Fid Q apewa tuzo ya `CHAMPION na umoja wa Nchi za Ulaya EU
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc5RfIyS9vraTNg9XAGpZDGL12DYG2gYHQ3-oMt6bFwhifmKz6laKD*uERc2DO-nb4PBWV8VUY161nttMXNMWbNx/FidQ2.jpg)
10 years ago
Bongo518 Mar
Fid Q apewa tuzo na umoja wa nchi za ulaya EU, ‘CHAMPION of the 2015 European year for development in Tanzania’
9 years ago
Bongo530 Sep
Ifahamu ratiba ya mechi za ligi ya mabingwa Ulaya, September 30
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Fid Q: Ningekosa tuzo nisingeshiriki tena
MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’, amesema tuzo za mwaka huu za Kili zilikuwa za mwisho kushiriki endapo waandaaji wasingetambua mchango wake tangu mwaka 2004....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfhcH8QW9PuHfdPNJ8FEHF7dRIYgmcDuaNVLat1ze5B2T*XJQEMOein-RGPCkgdaN3YAeKM95jNCWvUUoAxQk5ou/farid.jpg?width=650)
FID Q: PROFESA WA HIP HOP ALIYEKUMBUKWA KWA TUZO ZA KILI
11 years ago
GPLFID Q NAYE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU TUZO ZA KILI NA MUZIKI WA HIP HOP