Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FID Q NAYE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU TUZO ZA KILI NA MUZIKI WA HIP HOP

Rapper Farid Kubanda a.k.a Fid Q akipozi na baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers Ltd. Fid Q akiwa na waandishi wa Championi, Sweetbert Lukonge (kulia) na Nicodemus Jonas.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FID Q: PROFESA WA HIP HOP ALIYEKUMBUKWA KWA TUZO ZA KILI

Makala: Andrew Carlos NDANI ya gemu la Hip Hop Bongo, ni vichwa vichache sana ambavyo vimebaki tangu miaka ya 90 hadi sasa, miongoni mwao ni mkali kutoka Jiji la Mwanza ambaye alizaliwa Agosti 13, 1982, Farid Kubanda ’Ngosha The Swagga Don’ au Fid Q. Fid Q ’Ngosha The Swagga Don’ wakati akihojiwa na Global TV Online. Ni fundi aliyeitendea haki midundo ya ngoma kali kama Mwanza Mwanza, Proffesional,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Domokaya afunguka kuhusu tuzo za mziki kwa wasanii wa Hip hop Tanzania!

Mandojo. Na Mwandishi Wetu. MANDOJO na DOMOKAYA ni wasanii walioweza kutengeneza namna tofauti ya uwasilishwaji wa mziki wa TANZANIA (BONGO FLAVOUR) kwa matumizi ya ‘Guitor’ mbali na falsafa iliyopatikana katika kazi sambamba na ustadi ulioonekana kati yao hawa jamaa ambao walishawahi kufanya kazi mbalimbali zilizofanya vizuri ikiwemo ‘Nikupe’, ‘Wanoknok’ na ‘Dingi’.   Wakati huu watu hawa kila mmoja anaishi nyumbani kwake kutokana na namna mfumo wa maisha ya binadamu ulivyojengwa. Hasa...

 

11 years ago

GPL

MWANA HIP HOP DARASA NDANI YA GLOBAL TV ONLINE USIKU HUU

Mwana Hip hop, Shariff Thabeet 'Darasa' pamoja na Presenta Pamela Daffa 'The Mic Queen' ndani ya Global TV Online. Darasa katika pozi. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kwa miondoko ya Hip hop, Shariff Thabeet 'Darasa' leo yupo ndani ya studio za Globa TV Online akifanya mahojiano na Presenta mkali, Pamela Daffa 'The Mic Queen'. (PICHA NA CLARENCE MULISA /… ...

 

10 years ago

GPL

WAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE

Wanamuziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki na Kala Jeremiah wakiwa katika studio za Global TV Online leo. Roma Mkatoliki (wa kwanza kulia) akijibu swali na mtangazaji wa Global TV Online, Mou Alfa (kushoto). Kati ni Kala Jeremiah. Mou Alfa (kushoto) akiwahoji wanamuziki Kala na Roma ndani ya studio za Global TV…

 

10 years ago

GPL

JHIKOMAN NAYE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Mwanamuziki wa Raggae, Jhikoman akicharaza gitaa lake ndani ya studio za Global TV Online. Jhikoman akiwa katika pozi na gitaa lake.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fid Q aja na ‘documentary’ ya Hip Hop

MSANII wa muziki wa Hip Hop kutoka Mwanza, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema anatarajia kuachia ‘documentary’ itakayoelezea historia ya Hip hop ya Tanzania. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Fid Q...

 

11 years ago

Bongo5

Fid Q na P-Funk kuachia ‘Bongo Hip Hop’ Jumatano, August 13

Jumatano hii, August 13, Fareed Kubanda aka Fid Q atasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuwapa mashabiki wake zawadi kubwa. Fid na P-Funk Majani, wataachia kile kinachoonekana kama wimbo uitwao ‘Bongo Hip Hip. Hata hivyo hivi karibuni rapper huyo aliiambia Bongo5 kuwa anatarajia kuachia documentary itayoelezea historia ya hip hop ya Tanzania enye jina hilo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani