WAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE
Wanamuziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki na Kala Jeremiah wakiwa katika studio za Global TV Online leo. Roma Mkatoliki (wa kwanza kulia) akijibu swali na mtangazaji wa Global TV Online, Mou Alfa (kushoto). Kati ni Kala Jeremiah. Mou Alfa (kushoto) akiwahoji wanamuziki Kala na Roma ndani ya studio za Global TV…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/--DY2YLVzWP4/VYbcO1GHirI/AAAAAAAACKU/dBgNG6CBe6E/s72-c/leoooo.jpg)
10 years ago
Bongo518 Mar
New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi
10 years ago
GPL20 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3F4dwUaVV28/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3F4dwUaVV28/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGh7cJLrAYtC5qSQKu7ozFqN*eRFPIf*lg2DK*0E3lxorqI4W4SVjbXFGXm7qjm-hhAVEbb-OOF*jlHMHerpbN6-/1kallajeremiah.jpg?width=650)
10 years ago
GPLKALA JEREMIAH, LA VEDA, MO MUSIC, BEN POL, STAMINA, NEY LEE WAFUNIKA UZINDUZI WA VIDEO 'USIKATE TAMAA'
9 years ago
Bongo514 Dec
Siipendi tena Hip Hop, imepoteza ladha – Kala Jeremiah
![Kala](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Kala-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Mwanza, Kala Jeremiah amesema haupendi kabisa muziki wa Hip Hop wa sasa kutokana na wasanii kushindwa kuzungumzia masuala yanayoihusu jamii.
Rapa huyo ambaye ni zao la shindano la Bongo Star Search (BSS), msimu wa kwanza 2007, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa muziki wa Hip Hop umepoteza mwelekeo.
“Kwanza kabisa siipendi Hip Hop ya sasa kwasababu imepoteza ladha na mwelekeo tofauti na ya zamani,” alisema.
“Zamani watu walikuwa wakiimba vitu bila kuficha...