Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE

Wanamuziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki na Kala Jeremiah wakiwa katika studio za Global TV Online leo. Roma Mkatoliki (wa kwanza kulia) akijibu swali na mtangazaji wa Global TV Online, Mou Alfa (kushoto). Kati ni Kala Jeremiah. Mou Alfa (kushoto) akiwahoji wanamuziki Kala na Roma ndani ya studio za Global TV…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi

Kala Jeremiah na Roma wameungana kutengeneza ngoma mpya ‘Nchi ya Ahadi’ iliyotoka leo. Kwenye wimbo huo Kala amechukua nafasi ya mwananchi anayemuuliza maswali magumu Roma ambaye ni mwanasiasa anayetafuta nafasi nyingine ya uongozi. Ni wimbo mzuri hasa kwa kipindi hiki. Usikilize.

 

10 years ago

GPL

KALA JEREMIAH, LA VEDA, MO MUSIC, BEN POL, STAMINA, NEY LEE WAFUNIKA UZINDUZI WA VIDEO 'USIKATE TAMAA'

Kala Jeremiah (kushoto) na Nuruwell wakipafomu kwa mara ya kwanza wimbo wa Usikate Tamaa ndani ya Maisha Club. Kala Jeremiah akikamua sambamba na Ney Lee kabla ya kuzindua video yake ya Usikate Tamaa.…

 

9 years ago

Bongo5

Siipendi tena Hip Hop, imepoteza ladha – Kala Jeremiah

Kala

Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Mwanza, Kala Jeremiah amesema haupendi kabisa muziki wa Hip Hop wa sasa kutokana na wasanii kushindwa kuzungumzia masuala yanayoihusu jamii.

Kala

Rapa huyo ambaye ni zao la shindano la Bongo Star Search (BSS), msimu wa kwanza 2007, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa muziki wa Hip Hop umepoteza mwelekeo.

“Kwanza kabisa siipendi Hip Hop ya sasa kwasababu imepoteza ladha na mwelekeo tofauti na ya zamani,” alisema.

“Zamani watu walikuwa wakiimba vitu bila kuficha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani