Siipendi tena Hip Hop, imepoteza ladha – Kala Jeremiah
Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Mwanza, Kala Jeremiah amesema haupendi kabisa muziki wa Hip Hop wa sasa kutokana na wasanii kushindwa kuzungumzia masuala yanayoihusu jamii.
Rapa huyo ambaye ni zao la shindano la Bongo Star Search (BSS), msimu wa kwanza 2007, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa muziki wa Hip Hop umepoteza mwelekeo.
“Kwanza kabisa siipendi Hip Hop ya sasa kwasababu imepoteza ladha na mwelekeo tofauti na ya zamani,” alisema.
“Zamani watu walikuwa wakiimba vitu bila kuficha...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Bongo519 Nov
Mwana FA adai Hip hop imepoteza maana yake
![11249868_666551486778035_1351011407_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11249868_666551486778035_1351011407_n-300x194.jpg)
Mwana FA amesema hawezi kuwaunga mkono wasanii wanaopoteza misingi ya muziki wa Hip Hop kwa sababu ya kutengeneza pesa na kuacha changamoto zinazowakabili watanzania
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, FA alisema sio lazima kwa msanii kufanya kitu ambacho hana uhakika nacho, hata kama kinaingiza pesa nyingi.
“Iko so obvious muziki umebadilika sana, umetoka katika ile misingi iliyowekwa na sababu zake za kuwepo, umekuwa kuhusu starehe na hela peke...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s72-c/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0B_Dy7O2VNE/VfpRVpp2OSI/AAAAAAAD7rw/II801JgrByg/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Bongo524 Sep
Dr Dre aongoza tena ‘ 2014 Hip Hop Cash Kings’, akifuatiwa na Jay Z, Diddy na Drake
9 years ago
Bongo512 Dec
Video: Kala Jeremiah – Malkia
![KALA-NEW](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/KALA-NEW-300x194.jpg)
Rapper Kala Jeremiah baada ya kimya kidogo amerudi tena na hii video mpya wimbo unaitwa “Malkia”, Video imeongozwa na Pablo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo530 Sep
Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA
11 years ago
GPLKALA JEREMIAH NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
CloudsFM12 Dec
MALARIA,TYPHOD YAMLAZA KALA JEREMIAH HOSPITALI
Rapa wa ngoma ya ‘’Usikate Tamaa’,Kala Jeremiah hivi karibuni alilazwa katika hospitali ya Arafa iliyopo maeneo ya Airport baada ya kuugua magonjwa ya malaria na typhod.
‘’Yaah nilikuwa naumwa malaria na Typhod na nilikuwa naenda katika hospitali ya Arafa nilikuwa nikipatiwa matibabu na kupumzishwa lakini kwa sasa hivi naendelea vizuri’’ alisema Kala.
10 years ago
Bongo518 Mar
New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi