KALA JEREMIAH NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
Kalla Jeremiah akipozi ndani ya studio za Global TV Online kabla ya kufanyiwa mahojiano. Kalla akipozi na baadhi ya wafanyakazi wa Global. Kutoka kushoto ni Erick Evarist, Gabriel Mongela…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Michuzi26 Aug
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL KWA PRODYUZA MONA GANGSTAR NA KALA JEREMIAH , TANESCO NA NYAYA ZILIZOSHUKA
9 years ago
Bongo526 Nov
Kala Jeremiah: Ukifanya video nje huku unategemea show za ndani ni kula hasara
![Kala](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Kala-300x194.jpg)
Kuna baadhi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kusema hawana mpango wa kwenda kushoot video zao nje ya Tanzania, lakini baadae walibadili mawazo na kwenda kushoot huko.
Miongoni mwa wasanii waliobadili mawazo ni Ben Pol, ambaye hivi karibuni ameshoot video mpya Afrika Kusini na Justin Campos.
Kala Jeremiah pia aliwahi kusema hafikirii kwenda kushoot video nje, na sababu aliyoitoa ni kutokana na nyimbo zake nyingi zinazungumzia matatizo ya jamii za Kitanzania.
Bongo5 ilimtafuta Kala kutaka...
9 years ago
Bongo512 Dec
Video: Kala Jeremiah – Malkia
![KALA-NEW](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/KALA-NEW-300x194.jpg)
Rapper Kala Jeremiah baada ya kimya kidogo amerudi tena na hii video mpya wimbo unaitwa “Malkia”, Video imeongozwa na Pablo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo530 Sep
Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA
10 years ago
CloudsFM12 Dec
MALARIA,TYPHOD YAMLAZA KALA JEREMIAH HOSPITALI
Rapa wa ngoma ya ‘’Usikate Tamaa’,Kala Jeremiah hivi karibuni alilazwa katika hospitali ya Arafa iliyopo maeneo ya Airport baada ya kuugua magonjwa ya malaria na typhod.
‘’Yaah nilikuwa naumwa malaria na Typhod na nilikuwa naenda katika hospitali ya Arafa nilikuwa nikipatiwa matibabu na kupumzishwa lakini kwa sasa hivi naendelea vizuri’’ alisema Kala.
10 years ago
CloudsFM19 Nov
KALA JEREMIAH: NIMEOTESHWA KUANDIKA “USIKATE TAMAA”
Staa wa Hip Hop,Kala Jeremiah ambaye hivi karibuni alilamba mkataba wa kuwa balozi wa kampuni moja ya vinywaji kwa mwaka wa pili mfululizo.
Kala Jeremiah ana mipango ya kuachia ngoma mpya inaitwa ‘’Usikate Tamaa’’, ina aminika kuwa itashika kushika katika level za Dear god, Kala anasema idea ya ngoma hiyo imeanzia ndotoni.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6TIZBqLM_JM/default.jpg)