INTRODUCING NEW VIDEO SONG MALKIA by Kala Jeremiah
![](http://img.youtube.com/vi/6TIZBqLM_JM/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Dec
Video: Kala Jeremiah – Malkia
![KALA-NEW](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/KALA-NEW-300x194.jpg)
Rapper Kala Jeremiah baada ya kimya kidogo amerudi tena na hii video mpya wimbo unaitwa “Malkia”, Video imeongozwa na Pablo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL27 Nov
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/--DY2YLVzWP4/VYbcO1GHirI/AAAAAAAACKU/dBgNG6CBe6E/s72-c/leoooo.jpg)
10 years ago
GPL20 Jun
9 years ago
Bongo510 Oct
Kala Jeremiah adai nyimbo zake haziitaji kusafiri nje kufanya video
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3F4dwUaVV28/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Kala Jeremiah afanya uzinduzi wa Video na Audio ya nyimbo yake mpya ya “Usikate Tamaa”
Kala Jeremiah akichana mistari.
Mwanamziki wa Hip hop, Kala Jeremiah amezindua video yake ya Wimbo Usikate Tamaa aliomshirikisha Nuruell katika Ukumbi wa Maisha Club, jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Katika uzinduzi huo, Kala alisindikizwa na mastaa kibao wakiwemo MO Music, Ben Pol, La Veda, Stamina, Ney Lee ambao waliporomosha shoo za nguvu na kuzikonga nyoyo za mashabiki waliohudhuria uzinduzi huo. Kala Jeremiah amesema Audio na Video zinatarajia kutoka rasmi siku ya Jumatano...
9 years ago
Bongo526 Nov
Kala Jeremiah: Ukifanya video nje huku unategemea show za ndani ni kula hasara
![Kala](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Kala-300x194.jpg)
Kuna baadhi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kusema hawana mpango wa kwenda kushoot video zao nje ya Tanzania, lakini baadae walibadili mawazo na kwenda kushoot huko.
Miongoni mwa wasanii waliobadili mawazo ni Ben Pol, ambaye hivi karibuni ameshoot video mpya Afrika Kusini na Justin Campos.
Kala Jeremiah pia aliwahi kusema hafikirii kwenda kushoot video nje, na sababu aliyoitoa ni kutokana na nyimbo zake nyingi zinazungumzia matatizo ya jamii za Kitanzania.
Bongo5 ilimtafuta Kala kutaka...