Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kala Jeremiah adai nyimbo zake haziitaji kusafiri nje kufanya video

Rapper Kala Jeremiah amesema kuwa nyimbo anazofanya haziitaji kusafiri kwenda nje ili kufanya video. Kala ameiambia Bongo5 kuwa, nyimbo zake zinazungumzia matatizo ya kijamii hivyo zinahitaji mazingira ya nyumbani. “Sifikirii kwenda nje,” amesema. “Unajua aina ya nyimbo ninazofanya – Kala Jeremiah anafanya nyimbo zinazowahusu watanzania zaidi, zinahitaji location za kitanzania na uhalisia wa kitanzania. Unajikuta […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kala Jeremiah afanya uzinduzi wa Video na Audio ya nyimbo yake mpya ya “Usikate Tamaa”

IMG_7739

Kala Jeremiah akichana mistari.

Mwanamziki wa Hip hop, Kala Jeremiah amezindua video yake ya Wimbo Usikate Tamaa  aliomshirikisha Nuruell katika Ukumbi wa Maisha Club, jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Katika uzinduzi huo, Kala alisindikizwa na mastaa kibao wakiwemo MO Music, Ben Pol, La Veda, Stamina, Ney Lee ambao waliporomosha shoo za nguvu na kuzikonga nyoyo za mashabiki waliohudhuria uzinduzi huo. Kala Jeremiah amesema Audio na Video zinatarajia kutoka rasmi siku ya Jumatano...

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah: Ukifanya video nje huku unategemea show za ndani ni kula hasara

Kala

Kuna baadhi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kusema hawana mpango wa kwenda kushoot video zao nje ya Tanzania, lakini baadae walibadili mawazo na kwenda kushoot huko.

Kala

Miongoni mwa wasanii waliobadili mawazo ni Ben Pol, ambaye hivi karibuni ameshoot video mpya Afrika Kusini na Justin Campos.

Kala Jeremiah pia aliwahi kusema hafikirii kwenda kushoot video nje, na sababu aliyoitoa ni kutokana na nyimbo zake nyingi zinazungumzia matatizo ya jamii za Kitanzania.

Bongo5 ilimtafuta Kala kutaka...

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah adai serikali iliyopita haijawanufaisha wasanii

Rapper Kala Jeremiah amesema serikali inayomaliza muda wake haijawasaidia wasanii. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio rapper huyo amesema yeye kwa upande wake haoni kilichofanywa na serikali huku akisema bado kazi zao zinauzwa mitaani. “Watu wanatengeza CD ya Kala Jeremiah, anachanganya na msanii mwingine halafu anauza mtaani. Tunakutana nao hao wanakugongea […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Kala Jeremiah – Malkia

KALA-NEW

Rapper Kala Jeremiah baada ya kimya kidogo amerudi tena na hii video mpya wimbo unaitwa “Malkia”, Video imeongozwa na Pablo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje

_K0A1374Belle 9 anadhani Tanzania ina waongozaji wakali na location za kuvutia kufanya video za muziki kiasi ambacho haoni sababu ya kusafiri kwenda kufanya video zake nje ya nchi.  Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ hivi karibuni, amesema uwezo wa waongozaji wa Tanzania akiwemo Hanscana unatosha kabisa kumpa video yenye ubora. Amesema kama […]

 

9 years ago

Vijimambo

SUGU, NATURE, PROFESSA J, KALA JEREMIAH KUFANYA SHOO YA KUHAMASISHA MASHABIKI KUPIGA KURA OKTOBA 25, 2015

Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Kala Jeremiah akiongea na waandishi wa habari ili kuwaelezea onyesho lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015. Pembeni ni Joseph Haule “Professa J”, Juma Kassim “Sir Nature” pamoja na Msagasumu. Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule “Professa J” akionyesha msisitizo mbele...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani