Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC atunukiwa tuzo ya uongozi

VIONGOZI wa madhehebu ya dini ya Kikristo na Kiislamu mkoani Mbeya wamemtunuku Tuzo ya uongozi bora Mkuu wa wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete atunukiwa tuzo ya uongozi

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma Barani Afrika

 

10 years ago

Mwananchi

Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika

Mbunge wa Singida Mjini (CCM) na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji ameshinda tuzo ya kiongozi bora aliyejitolea kwa kiasi kikubwa katika jamii na kuleta mabadiliko Afrika kwa mwaka 2014.

 

9 years ago

Vijimambo

JK AAGANA NA WAFANYAKAZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA, ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA UONGOZI WENYEMAFANIKIO, IJULIKANAYO KAMA "AFRICA ACHIEVING'S AWARD"

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha leo Septemba 10, 2015. Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo, awali Rais Kikwete, alitunukiwa tuzo ya uongozi bora Ikulu jijini Dar es Salaam leo Septemba 10, 2015. Tuzo hiyo aliyotunukiwa nchini Afrika Kusini hivi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtanzania atunukiwa tuzo ya ujasiriamali

Julius Shirima ni mshindi kutoka Tanzania wa tuzo ya vijana iitwayo Pan-Commonwealth Youth Award

 

11 years ago

Habarileo

Mama Salma atunukiwa tuzo

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amepewa cheti na Umoja wa Wake wa Mabalozi wa Afrika waishio katika nchi za Umoja wa Ulaya kwa kutambua na kuthamini mchango wake na kazi, anazozifanya za kusaidia wanawake, wasichana na watoto wa Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

JK atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa atunukiwa tuzo ya mafanikio

Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametunukiwa Tuzo ya Mafanikio Katika Utumishi wa Umma kutokana na mchango alioutoa kwenye uchumi wakati wa utawala wake.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO NA TUCTA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu toka kwa Gratian Mukoba, Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) wakati wa kilele cha Mei Mosi Uwanja wa CCM Kirumbna jijini Mwanza leo mei 1, 2015. Picha na IKULU

 

11 years ago

Habarileo

Magigita atunukiwa Tuzo ya Martin Luther

 Jane MagigitaMKURUGENZI Mtendaji wa asasi isiyo ya kiserikali ya Equality for Growth (EfG), Jane Magigita, ametunukiwa na Ubalozi wa Marekani nchini tuzo ya Haki ya Dk Martin Luther King kwa mwaka 2014, kwa kutambua jitihada zake katika kutetea haki za kisheria za wanawake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani